manual script (muswada) ya kitabu kinapatikana

ugali dagaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
salaam nimefanikiwa kuandika kitabu chenye jina "akipatikana nafuu" lakini sikuweza kufanikisha kukiendeleza, taratibu za awali za kukifanya kitabu kutumika kama riwaya ya kufundishia nimeshazifanya natafuta mtu ama kampuni itakayoweza kukifanya kitabu hiki kiendelezwe na kuingia sokoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…