WIZI WA FEDHA ZA UMMA MANISPAA YA TEMEKE::
Inasikitisha ktk kipindi hiki ambapo Serikali inasisitiza kuziba mianya ya Wizi na Upotevu wa Pesa Manispaa ya Temeke ndio kwanza Inazidisha Wizi kwa kuunda Mtandao Maalum wa Wezi unaoongozwa na Meya(Abdalah Chaurembo),Mkurugenzi(NASEEB Mbagga) na wakuu wa Idara baadhi ikiwemo Idara ya Maji,Idara ya Afya,Mweka Hazina na Afisa Ugavi.
Wizi hufanyikaje?:Maskini kwanza Madiwani wamenyimwa uwezo wa Kusema kwa kuwa Meya ndio hataki waongee na amegeuka kuwa msemaji wa Wataalamu kutokana na Kunufaika na Wizi wanaofanya.
Mfano:
1)Idara ya Maji iliidhinishiwa pesa zaidi ya milioni 30 ili kusafisha visima vya Maji lkn zikaishia Kusafisha Matumbo ya Wezi hao bila Huruma.
2.Mganga Mkuu aliyehamishwa GWAMAKA MWABULAMBO alishirikiana na Mtandao huo kuchota fedha za mafunzo ya mawasiliano kwa watumishi wa idara afya lkn fedha zilizotumika ni milioni 8 kuliko milioni 26 na mwezi mmoja tena BAADA zikaidhinishwa milioni 20 kwa mafunzo hayo hayo maskini Temeke.....
3. UKABILA ndio umekua Sera kuu;Kwa sasa sisi ambao hatuna historia ya Kupewa Tenda ndani ya wilaya hadi uwe aidha Mpare au Mchaga tizama kazi za ujenzi wa majengo na miradi ya barabara ili ujue angali ukabila wa Mkurugenzi na Mweka Hazina,Idara ya Maji na wanaopewa Tenda mbalimbali,,,nasikia hata wakuu wa Idara wasio na historia ya kaskazini wanadhalilika kweli na ambao wanapeta ni wale ambao waliletwa na mkurugenzi Kama afisa Ugavi CHACHA ambaye ametoka Biharamulo alikotoka mkurugenzi ambaye amemleta kuweka mtandao WA WIZI vizuri
Madiwani Tumetengwa Wanaonufaika ni wachache ambao wako kamati ya mipango miji ambao mara kadhaa wamekuwa wakipata mgao toka kwa Meya mfano ni Mwekezaji wa petrol station inayotarajiwa kujengwa eneo la quality center INDUSTRIAL TECHNICAL SERVICES LTD Kiwanja no 1BE.P kitalu no LOT 20 chang'ombe matumizi ya kiwanja ni viwanda namba ya maombi ya Kibali ni T354/2017 kilichoombwa tarehe 30/11/2017 ambapo wenzetu wakipata Mgao toka kwa Meya sasa tusiopata tunahangaika tunatamani kugawana fito maana Meya anatunyima migao ya kutosha na Anatetea kwa kuwa ni mnufaika, kwa sasa Anatembelea gari alilopewa na mkurugenzi analitumia vibaya kwa kusafiri nalo hadi Lindi shambani kwake Duuh Halmashauri imekufa....
Hivi Leo tarehe 09/03/2018 amepewa gari la halmashauri namba SM 10073 na mafuta karibuni lita Mia mbili hadi nyingine zimejazwa kwenye madungu kupeleka mabati NG'APA Lindi akisingizia ni ya mkubwa serikalini sijui ni nani?
Amekuwa akitumia jina la waziri mkuu vibaya na kuwatishia watendaji na kusema yeye anaushawishi jambo ambalo Limewavunja moyo.
MKURUGENZI NASEEB MBAGA huyu amekuwa ni tishio amekuwa akijitutumua kuwa yeye ni afisa usalama na kwamba Ikulu anavijana wake akisema hata mpambe wa Rais ni kijana wake lakini pia yeye ni rafiki na katibu mkuu tamisemi na kwamba mabadiliko yote ya wakuu wa idara ni kutokana na kumweka mkononi MUSA IYOMBE jambo ambalo miongoni mwetu tumeanza kuliamini.
Haya niliyoyasema naomba mamlaka za uchunguzi wafike watashuhudia yote kabla funika kombe haijaanza.
Tunajiuliza kwa haya yote Vyombo vya Ulinzi na Usalama mbona vimelala!Wako wapi Usalama wa Taifa au wanamlinda mwenzao ?au Kazi ya usalama ni kuilinda CCM tu?wako wapi TAKUKURU au kazi yao ni kuhoji tu waliokula pesa za TEFA??wako wapi POLISI au kazi yao ni kuzuia mazishi ya Tambwe hiza tu?Tafadhali Zindukeni Mumsaidie Mheshimiwa Rais Kupambana na Mtandao huu wa Wezi.
Bado part 2.
Ndimi mwana Mtoni
Inasikitisha ktk kipindi hiki ambapo Serikali inasisitiza kuziba mianya ya Wizi na Upotevu wa Pesa Manispaa ya Temeke ndio kwanza Inazidisha Wizi kwa kuunda Mtandao Maalum wa Wezi unaoongozwa na Meya(Abdalah Chaurembo),Mkurugenzi(NASEEB Mbagga) na wakuu wa Idara baadhi ikiwemo Idara ya Maji,Idara ya Afya,Mweka Hazina na Afisa Ugavi.
Wizi hufanyikaje?:Maskini kwanza Madiwani wamenyimwa uwezo wa Kusema kwa kuwa Meya ndio hataki waongee na amegeuka kuwa msemaji wa Wataalamu kutokana na Kunufaika na Wizi wanaofanya.
Mfano:
1)Idara ya Maji iliidhinishiwa pesa zaidi ya milioni 30 ili kusafisha visima vya Maji lkn zikaishia Kusafisha Matumbo ya Wezi hao bila Huruma.
2.Mganga Mkuu aliyehamishwa GWAMAKA MWABULAMBO alishirikiana na Mtandao huo kuchota fedha za mafunzo ya mawasiliano kwa watumishi wa idara afya lkn fedha zilizotumika ni milioni 8 kuliko milioni 26 na mwezi mmoja tena BAADA zikaidhinishwa milioni 20 kwa mafunzo hayo hayo maskini Temeke.....
3. UKABILA ndio umekua Sera kuu;Kwa sasa sisi ambao hatuna historia ya Kupewa Tenda ndani ya wilaya hadi uwe aidha Mpare au Mchaga tizama kazi za ujenzi wa majengo na miradi ya barabara ili ujue angali ukabila wa Mkurugenzi na Mweka Hazina,Idara ya Maji na wanaopewa Tenda mbalimbali,,,nasikia hata wakuu wa Idara wasio na historia ya kaskazini wanadhalilika kweli na ambao wanapeta ni wale ambao waliletwa na mkurugenzi Kama afisa Ugavi CHACHA ambaye ametoka Biharamulo alikotoka mkurugenzi ambaye amemleta kuweka mtandao WA WIZI vizuri
Madiwani Tumetengwa Wanaonufaika ni wachache ambao wako kamati ya mipango miji ambao mara kadhaa wamekuwa wakipata mgao toka kwa Meya mfano ni Mwekezaji wa petrol station inayotarajiwa kujengwa eneo la quality center INDUSTRIAL TECHNICAL SERVICES LTD Kiwanja no 1BE.P kitalu no LOT 20 chang'ombe matumizi ya kiwanja ni viwanda namba ya maombi ya Kibali ni T354/2017 kilichoombwa tarehe 30/11/2017 ambapo wenzetu wakipata Mgao toka kwa Meya sasa tusiopata tunahangaika tunatamani kugawana fito maana Meya anatunyima migao ya kutosha na Anatetea kwa kuwa ni mnufaika, kwa sasa Anatembelea gari alilopewa na mkurugenzi analitumia vibaya kwa kusafiri nalo hadi Lindi shambani kwake Duuh Halmashauri imekufa....
Hivi Leo tarehe 09/03/2018 amepewa gari la halmashauri namba SM 10073 na mafuta karibuni lita Mia mbili hadi nyingine zimejazwa kwenye madungu kupeleka mabati NG'APA Lindi akisingizia ni ya mkubwa serikalini sijui ni nani?
Amekuwa akitumia jina la waziri mkuu vibaya na kuwatishia watendaji na kusema yeye anaushawishi jambo ambalo Limewavunja moyo.
MKURUGENZI NASEEB MBAGA huyu amekuwa ni tishio amekuwa akijitutumua kuwa yeye ni afisa usalama na kwamba Ikulu anavijana wake akisema hata mpambe wa Rais ni kijana wake lakini pia yeye ni rafiki na katibu mkuu tamisemi na kwamba mabadiliko yote ya wakuu wa idara ni kutokana na kumweka mkononi MUSA IYOMBE jambo ambalo miongoni mwetu tumeanza kuliamini.
Haya niliyoyasema naomba mamlaka za uchunguzi wafike watashuhudia yote kabla funika kombe haijaanza.
Tunajiuliza kwa haya yote Vyombo vya Ulinzi na Usalama mbona vimelala!Wako wapi Usalama wa Taifa au wanamlinda mwenzao ?au Kazi ya usalama ni kuilinda CCM tu?wako wapi TAKUKURU au kazi yao ni kuhoji tu waliokula pesa za TEFA??wako wapi POLISI au kazi yao ni kuzuia mazishi ya Tambwe hiza tu?Tafadhali Zindukeni Mumsaidie Mheshimiwa Rais Kupambana na Mtandao huu wa Wezi.
Bado part 2.
Ndimi mwana Mtoni