Acha ya Tabora, sisi wa Shinyanga manispaa hilo la kutolipwa nauli, au hata pesa ya kununulia daftari la sh3000. Hakuna. Sambamba na hivo
1. Madaraja upandishwaji si kwa wakati.
2. Bado wanalazimisha watu warudi vituoni kufanya TP.
3. Tunatozwa 1500TSH ya Kitambulisho.
SOLUTIO.
1. Tujitoe ktk CWT sbb hizi ndio kazi zake ila ipo kwa maslahi ya wachache na kushirikiana na waajiri wetu kutukandamiza.
2. TUANZISHE VIKAO VYA UJIRANIMWEMA KISHULE KUJADILI matatizo na kwenda kuyadai sisi kama sisi na sio kumtegemea mtu.
3. Tunaweza tukiwa mmoja, wawili, na zaidi na hatusubiri kuwezeshwa.
4. Pamoja tuna weza.