Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Ni vizuri haki kuwapoukipita katika mitaa ya manispaa ya Iringa lazima uta kutana na habari hii.Watu wanashangaa kilicho tokea maana hata ushindi wa usafi kitaifa ilikuwa kazi ya mkurugenzi huyu akishirikianana baraza lake la madiwani.Nimewa shuhudia watu wakisema mtu huyu alikuwa habagui mtu.anaweza akamsikiliza mtu hamjui na ofisini kwake hakuna ulazima wa kutoa taarifa ili uingia.mfano shule ya Iringa Gilrs ilkuwa ina hitaji gari wakaitisha harambee waka pata kiasi fulani cha hela walipo enda kwake akawambia hela hizo wafanyie kazi nyingine na yeye akawapa gari nadereva wa manispaa.Watumishi wote ukiwa uluza uta sikia mtumishi huyu alikuja kuibadilisha manispaa kweli.Sasa kumuondoa hivihivi sijui kama ndio tuna koenda.Inakatisha tamaa kwa wachapa kazi kwakweli
Nimecheka sana NduguMnyalukolo ndauli? umeandikana kujiquote mwenyewe
Aliona haitoshi mkuu na kukawa na idara ina magari zaidiKwa hiyo akakataa pesa ya msaafa akawaambie wafanye mengine sababu pesa ya serikali ipo tu kufanya lolote lile? Mmmmmmmmmm
Kwani jamaa alisaliti sisiem?Ukikisaliti cCm lazima ujute
Aliona haitoshi mkuu na kukawa na idara ina magari zaidi
Sijajua jina lake wala utendaji wake lakini kwanini huyu mchapa kazi kaondolewa?Lazima wwe utakuwa ni mtumishi wa manispaa hapo Iringa,
Mana haya nimeyasikia kutoka kwa mtumishi wa hapohapo,
Aliyeletwa sasa anaitwa nani na alikuwa wapi?
Ndahii,ulikwi mnyalukolo?Tivanya boma tulibaha
Kwani wewe mkuu ume sikia kapangwa wapi?Ila ungeandika na mengine uliyofanya au nduguyo aliyofanya basi..
Gari ya serikali na nani alilipia mafuta? maana pesa ya harambee alisema watumbue kwa mengine...
Pia kwa jinsi ulivyoandika wewe hujaona mazuri na mabaya yake bali wewe unasikia tu...hapo sasa
Sasa hivi hana kazi?
Hata ukiisaliti Chadema hivyo hivyo lazima ulimie menoUkikisaliti cCm lazima ujute
Haki ipi? AnkoNi vizuri haki kuwapo
Wasamehe bure, Wana haki pia kuwasiliana kwa lugha hiyo, si ni wa Iringa na tukio limetokea kwao.Hizi lugha koko marehemu za misituni zinakubalika jamiiforums?
Kavulugwa huyu wameanza kukamatana comes 23rd Julyomba tu tafsiri yake kuliko lugha hiyo
Nani kavurugwa tena?Kavulugwa huyu wameanza kukamatana comes 23rd July
Huyu mgeni nadhani katokea wilaya ya Chemba Dodoma kabla ya kupangiwa iringa manispaa.Nilipata fanya naye kazi,ni jembe piaLazima wwe utakuwa ni mtumishi wa manispaa hapo Iringa,
Mana haya nimeyasikia kutoka kwa mtumishi wa hapohapo,
Aliyeletwa sasa anaitwa nani na alikuwa wapi?