Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Ukipita katika mitaa ya manispaa ya Iringa lazima utakutana na habari hii. Watu wanashangaa kilichotokea maana hata ushindi wa usafi kitaifa ilikuwa kazi ya mkurugenzi huyu akishirikianana baraza lake la madiwani.
Nimewashuhudia watu wakisema mtu huyu alikuwa habagui mtu anaweza akamsikiliza mtu hamjui na ofisini kwake hakuna ulazima wa kutoa taarifa ili kuingia, mfano shule ya Iringa Gilrs ilkuwa inahitaji gari wakaitisha harambee wakapata kiasi fulani cha hela walipo enda kwake akawambia hela hizo wafanyie kazi nyingine na yeye akawapa gari na dereva wa manispaa.
Watumishi wote ukiwauluza utasikia mtumishi huyu alikuja kuibadilisha manispaa kweli.
Sasa kumuondoa hivihivi sijui kama ndio tunakoenda. Inakatisha tamaa kwa wachapakazi kwakweli
Nimewashuhudia watu wakisema mtu huyu alikuwa habagui mtu anaweza akamsikiliza mtu hamjui na ofisini kwake hakuna ulazima wa kutoa taarifa ili kuingia, mfano shule ya Iringa Gilrs ilkuwa inahitaji gari wakaitisha harambee wakapata kiasi fulani cha hela walipo enda kwake akawambia hela hizo wafanyie kazi nyingine na yeye akawapa gari na dereva wa manispaa.
Watumishi wote ukiwauluza utasikia mtumishi huyu alikuja kuibadilisha manispaa kweli.
Sasa kumuondoa hivihivi sijui kama ndio tunakoenda. Inakatisha tamaa kwa wachapakazi kwakweli