Mangula: Nguvu ya CHADEMA inatisha

Mangula: Nguvu ya CHADEMA inatisha

Magesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
2,587
Reaction score
578
Makamu mwenyekiti wa CCM,Ndugu Philip Mangula,amesema nguvu ya CHADEMA inakitishia CCM.Ameelezea kushangazwa kwake na nguvu ya CHADEMA dhd ya CCM yenye wanachama wengi.
My take:
Ni dhahiri sasa kuwa hata viongozi wa CCM wanatambua kuwa CHADEMA kinaelekea kushika dola 2015.SOURCE MAJIRA YA LEO Tarehe 10/10/2013
 
swala si nguvu ya chadema na wingi wa maccm, swala ni kati ya waongo, wanafki na ukweli, sikuzote ukitaka kushinda simama kwenye ukweli. haya ya uchache ni uupuuzi mtupu, watanzania wana tafuta ukweli wajikwamue kwenye ufisadi hawatafuti ushabiki wa kiufinyu wa akili!
 
vinywani hawatamki, mioyoni wanatambua
 
Rais mwenyewe aliwaambia wana ccm wajiandae kisaikolojia kwa yatakayotokea 2015....

Ziara ya Dr. Slaa US ndo imewamaliza kabisa..
 
after understand the SOSOMO party has rot they decide to give back to mangolo and kinano and the weaked one mwingolo and nopuye to shift slowly sosomo to NYUMBA YA MILELE, through my own view mr jk want the country turn into real democracy of party interchange in leading government but WAHAFIDHINA,such as wossire, lokuvo and few others hate that too much, dr jk know the important of this too and he want to through away the single party monopoly of leadership,the time has reach there will be no escapement.
 
"A good decision is based on KNOWLEDGE and not on NUMBERS"-Plato
 
ahahah hizi ni ndoto za mchana kabisa, CDM ndo wanapumulia machine chama chao kinafutika kwenye ramani ya dunia 2015. Katibu mkuu wa CDM kaanza u Vasco Dagama kwa ziara za marekani, anatafuta uhalali wa kutafuna pesa ambazo CDM wanapata kutoka kwa walalahoi na wahisani!
Baada ya Uchaguzi wa 2010 Viongozi wa CDM walimdanganya Slaa kwamba kashinda! yaani ni kichekesho uwezi kukosa hata theluthi ya wabunge wa kuchaguliwa majimboni alafu ukaota umeshinda Uraisi!!.
My advice kwa Slaa 2015 agombee jimboni kwake tu ubunge, wananchi wa jimbo lake pengine bado wanamkubali, akigombea uraisi ndo utakuwa mwisho wake kisiasa kwani atashindwa vibaya sana.




Rais mwenyewe aliwaambia wana ccm wajiandae kisaikolojia kwa yatakayotokea 2015....

Ziara ya Dr. Slaa US ndo imewamaliza kabisa..
 
Akina nape na mwigulu ndo wabishi hawataki kuk ubali ukweli kuhusu nguvu ya CDM.
 
Ndiyo ni kweli kuna baadhi ya mambo chadema inatisha,kama vile kufundisha wananchi kuandamana,kusema uongo,na kupora wake za watu.
 
Mwalimu alituambia kua CCM ina kansa ya uongozi. Mara nyingi kama si zote suluhu ya mwenye kansa ni kifo. Je CCm itasalimika ?
 
Makamu mwenyekiti wa CCM,Ndugu Philip Mangula,amesema nguvu ya CHADEMA inakitishia CCM.Ameelezea kushangazwa kwake na nguvu ya CHADEMA dhd ya CCM yenye wanachama wengi.
My take:
Ni dhahiri sasa kuwa hata viongozi wa CCM wanatambua kuwa CHADEMA kinaelekea kushika dola 2015.SOURCE MAJIRA YA LEO Tarehe 10/10/2013
ndiyo anajua leo kwamba CCM ilishajifia longi...
 
ahahah hizi ni ndoto za mchana kabisa, CDM ndo wanapumulia machine chama chao kinafutika kwenye ramani ya dunia 2015. Katibu mkuu wa CDM kaanza u Vasco Dagama kwa ziara za marekani, anatafuta uhalali wa kutafuna pesa ambazo CDM wanapata kutoka kwa walalahoi na wahisani!
Baada ya Uchaguzi wa 2010 Viongozi wa CDM walimdanganya Slaa kwamba kashinda! yaani ni kichekesho uwezi kukosa hata theluthi ya wabunge wa kuchaguliwa majimboni alafu ukaota umeshinda Uraisi!!.
My advice kwa Slaa 2015 agombee jimboni kwake tu ubunge, wananchi wa jimbo lake pengine bado wanamkubali, akigombea uraisi ndo utakuwa mwisho wake kisiasa kwani atashindwa vibaya sana.
Wewe ni kati ya wale ambao KARUME alisema mna akili za samaki!
 
usiwe unaongea kama bwabwa..

Kuna wakati hakuna aliye amini kwamba kuna siku KANU itaachia dola Kenya. Ilikua ndoto; lakini ilitimia siku moja. CCM muwe makini msijisahau!
 
Back
Top Bottom