Makamu mwenyekiti wa CCM,Ndugu Philip Mangula,amesema nguvu ya CHADEMA inakitishia CCM.Ameelezea kushangazwa kwake na nguvu ya CHADEMA dhd ya CCM yenye wanachama wengi.
My take:
Ni dhahiri sasa kuwa hata viongozi wa CCM wanatambua kuwa CHADEMA kinaelekea kushika dola 2015.SOURCE MAJIRA YA LEO Tarehe 10/10/2013
My take:
Ni dhahiri sasa kuwa hata viongozi wa CCM wanatambua kuwa CHADEMA kinaelekea kushika dola 2015.SOURCE MAJIRA YA LEO Tarehe 10/10/2013