snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,709
- 23,638
Dah!!!
Nlikuwa naiskia tu kwa jirani ila ndo ishabisha hodi kwenye boma!!
Mangi bana katusua huko!
Na imebid tu nijue,nshacurse sana na kuvimba ila ndo ishakuwa!somewhere kipande cha wapi sijui kuna kisbling ka macutee wangu.
Hebu kujeni mnipe maakili maana yangu ishafikria weeeee ah mxxxxiou nimechemsha!!
Mi ndo sterling lakn ndo nshapigwa cha mbavu midamu kibao,saaasa nikubali kufa na muvi iishe au nifute midamu kwa kiganja aftena nikumbuke limbinu la vita lile master mwenyewe ili kitu kikae kwenye mstari.
Ila inauma mjue basi tu ni vile nyani mzee karika mishale mingi
Dark City sogea kipande hii mtuhumiwa wako ananitega huku
Kaunga mama g hana id jf anipe maakili?
Fixed Point dadakubwa songea kule huwa tunafanyaje ikiwa hv?
watu8 mtani shud we nyamachoma for this au tupige kimya
The Boss zile guidelines hazikutoa mwongozo wa ikitokea kesi kama hiz wafanyaje?
cacico hebu kuja mke mweee familia imekua huku tufanye mtiti au ndo tushakua?
Asprin , Nicas Mtei , Mkirua , Nsiande Nyamayao Mamndenyi Mentor Kaizer na wengine wote wa kipande ya mgombani hebu niambieni mila inasemaje??
All the best katika discussion!!
Nlikuwa naiskia tu kwa jirani ila ndo ishabisha hodi kwenye boma!!
Mangi bana katusua huko!
Na imebid tu nijue,nshacurse sana na kuvimba ila ndo ishakuwa!somewhere kipande cha wapi sijui kuna kisbling ka macutee wangu.
Hebu kujeni mnipe maakili maana yangu ishafikria weeeee ah mxxxxiou nimechemsha!!
Mi ndo sterling lakn ndo nshapigwa cha mbavu midamu kibao,saaasa nikubali kufa na muvi iishe au nifute midamu kwa kiganja aftena nikumbuke limbinu la vita lile master mwenyewe ili kitu kikae kwenye mstari.
Ila inauma mjue basi tu ni vile nyani mzee karika mishale mingi
Dark City sogea kipande hii mtuhumiwa wako ananitega huku
Kaunga mama g hana id jf anipe maakili?
Fixed Point dadakubwa songea kule huwa tunafanyaje ikiwa hv?
watu8 mtani shud we nyamachoma for this au tupige kimya
The Boss zile guidelines hazikutoa mwongozo wa ikitokea kesi kama hiz wafanyaje?
cacico hebu kuja mke mweee familia imekua huku tufanye mtiti au ndo tushakua?
Asprin , Nicas Mtei , Mkirua , Nsiande Nyamayao Mamndenyi Mentor Kaizer na wengine wote wa kipande ya mgombani hebu niambieni mila inasemaje??
All the best katika discussion!!
Last edited by a moderator: