Mange na Mtaliano wako mmetukosea sana

Mange na Mtaliano wako mmetukosea sana

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,300
Reaction score
47,328
Ebwana wanaJF Mzuka!

Watu yani tulishikwa na mihemko full furaha. Tulitoa offer za vinywaji na msosi. Majumbani kwetu keton za vinywaji tulinunua na kuhifadhi. Watu tulishinda jamvin huku tukirusha popcorn vinywani mwetu tukishushia na Pepsi baridi.

Mmetukatisha stimu na kutuangusha sana!
 
Daaah! Wamefanya kitu inaitwa "Saideika" maana yake mwenyeji anakupokea lakini sekunde kadhaa anatoweka unabaki kushangaa tu!
 
Huenda jamaa aliwasiliana na wale sangoma wake wakati wa kampeni na uchaguz wakawavuruga wakawa wanyenyekevu!
 
Hahahaha mkuu hata we walikukamata?!... Akaja yule jamaa na thread ya mkutano jumatatu mchana .. Sijui uliishiaje huo mkutano
yani iyo j3 nilikuwa na waqat mgumu mzigon hadi ilibid ni vunje miiko ya kazi kila mara nilikuwa naenda chemba nakuchungulia JF kwenye cmu
 
yani iyo j3 nilikuwa na waqat mgumu mzigon hadi ilibid ni vunje miiko ya kazi kila mara nilikuwa naenda chemba nakuchungulia JF kwenye cmu
Usidhani mambo yameisha. Serikali hii ya Awamu ya Tano lazima itafuatilia. Matokeo utayaona. Hizo zilikuwa ni serious allegations ambazo serikali makini lazima izichunguze
 
Usidhani mambo yameisha. Serikali hii ya Awamu ya Tano lazima itafuatilia. Matokeo utayaona. Hizo zilikuwa ni serious allegations ambazo serikali makini lazima izichunguze
sidhani mkuu. Hata mtumbuaji labda kashapigwa juju naye atakuwa mpole tuy
 
Hata kama humpendi mtu unapaswa siku zote kuomba haki itendeke

na mahakamani mfano akija mtu kutoa ushahidi wa kesi ya wizi dhidi ya mtuhumiwa
iwapo itathibitika hapo mahakamani shahidi ana ugomvi wa siku nyingi na mtuhumiwa
ushahidi wake unakuwa hauna nguvu....


Kuna wanasiasa wengi siwapendi lakini siwaombei waumizwe kwa kuwa tu siwapendi
ningependa hukumu yoyote itakayowakumba iwe ni ukweli na wana hatia 100 percent
sio visasi na kupaniana kuumizana kwa makundi tu ya kisiasa
 
Kila mtu ana thamani yake ukipandisha dau ananunulika tuuu
Pricetag
 
Haha pale pesa imetembea. Zile shutuma za kweli kbs
Au mange kala cha juu km $500,000 kaamua atulize mshono maana inaonekana alkua na full evidence yani from emails,whatsapp chat,voice note,tweets,pictures,n.k
 
Ebwana wanaJF Mzuka!

Watu yani tulishikwa na mihemko full furaha. Tulitoa offer za vinywaji na msosi. Majumbani kwetu keton za vinywaji tulinunua na kuhifadhi. Watu tulishinda jamvin huku tukirusha popcorn vinywani mwetu tukishushia na Pepsi baridi.

Mmetukatisha stimu na kutuangusha sana!
Mange na Muitaliano wameshamaliza part yao bado anasubiriwa Magufuli tu naye acheze part yake.
 
Ila yote kwa yote Mwammy anatumia kitega uchumi chake cha asili kwa faida mno na anakumbuka kutoa support kwa ndugu zake...Na kaka anapokea msaada akijua fika umetoka kwa hisani ya kitega uchumi asili cha sister..
 
Back
Top Bottom