Hv mkuu hiyo 2012 Lulu si alishafikisha miaka 18? na uzuri yy mwenyewe alikiri na birthday party juu? Sasa iweje tena hapa unasema alikua mtoto?Mtoto ni mtoto, maana yake mtoto ni vulnerable anaweza danganywa na mtu mzma maana hajakomaa kimaamuzi.
Na ndiyo maana huwezi jitetea eti mlikubariana kufanya mapenzi na mtoto mwenye umri wa miaka 16, hivyo alikubari mwenyewe.
Unakumbuka kile kisa cha akon ambapo mtoto chini ya umri wa miaka 18 alihudhuria show yake ya usiku kwa kudanganya umri wake?
Nani alilaumiwa? Alilaumiwa Akon na waandaaji kwa kutokuwa makini.
Mtoto anaweza kufanya chochote hasa akiwa umri wa balehe, hatutegemei mtu mzima kutake advantage kwa mtoto kisa mtoto ana nyege mshindo.
Numbisa big up sana. Mange is simply a famous hoe in a whore house!Anapenda kunyenyekewa na kila mtu,pia ana wivu kwa kila aliyemzidi kwa uzuri na fedha
OK saw ila unajua kwamba huyo unamwita kigagula ana elimu kubwa ambayo awez lala njaa hata kule alipo
Baba na mama yake wanasema kazaliwa mwaka 1996, kwa maelezo ya wakili na wanaomfahamu na wazazi wake wanasema alikuwa akidanganya ili awe anaingia club za usiku na apate kuendesha gari maana kalikuwa mapepe.Hv mkuu hiyo 2012 Lulu si alishafikisha miaka 18? na uzuri yy mwenyewe alikiri na birthday party juu? Sasa iweje tena hapa unasema alikua mtoto?
Hahaha huyo mtoto hajazaliwa 1996 nakataa, mtu akisema 1994 sawa, na ukweli anaujua mwenyewe na hao wazazi wake, kama unaamini kweli alizaliwa 1996 sijui wazazi wake wamethibitisha ungekua ni ww mzazi let's say mwanao ndio Lulu usingefanya any means ili umuokoe? Kama ni mkweli mbona alijichanganya judge alivyohoji kuhusu leseni hapo juzi? Au na hiyo unahisi ameonewa?Baba na mama yake wanasema kazaliwa mwaka 1996, kwa maelezo ya wakili na wanaomfahamu na wazazi wake wanasema alikuwa akidanganya ili awe anaingia club za usiku na apate kuendesha gari maana kalikuwa mapepe.
Alichokifanya lulu cha kudanganya umri siyo kitu cha ajabu Tanzania, kuna wanaoshusha umri wao kama Sitti Mtemvu ili wagombee nafasi flani na kuna wanaopandisha umri wao kama lulu alivyofanya na giggy money.
Hata mimi nilichukua leseni kwa mara ya kwanza kabla ya umri kufika 18, maana tz everything is possible.
Mis you sana.Hivi mange ana nini lakini?
Yaan mm silipendi hilo li mdada, linajifanyanga kuwasakama kweli wenzie na wakati yake huko yanamshinda.Hivi mange ana nini lakini?
Mke mwee upo?nakumiss ujue?Mis you sana.
Carba umenianza eeeh? Ngoja nikakutafutie kule tulipoanzia ugomvi.Mke mwee upo?nakumiss ujue?
Hahaha huyo mtoto hajazaliwa 1996 nakataa, mtu akisema 1994 sawa, na ukweli anaujua mwenyewe na hao wazazi wake, kama unaamini kweli alizaliwa 1996 sijui wazazi wake wamethibitisha ungekua ni ww mzazi let's say mwanao ndio Lulu usingefanya any means ili umuokoe? Kama ni mkweli mbona alijichanganya judge alivyohoji kuhusu leseni hapo juzi? Au na hiyo unahisi ameonewa?
Suala la Lulu kuzaliwa 1996 nalikataa kwa nguvu zote sababu enzi hizo anavuma kideoni home kulikua na mtoto wa sister yy amezaliwa 1996 na Lulu alionekana mkubwa kwa umbo na vingine vingi japokua mtadai Lulu amewahi kupata exposure ila ni UONGO KUA LULU KAZALIWA 1996
Kuna watu wamekalia povu kwa kila jambo aliongealo mange bila kujuwa lina faida gani kwa muhusika ,binafsi hii post ya mange nimeona kama ushauri mzuri kwa Dada lulu coz yupo kwenye wakati mgumu nw so ili mungu amsaidie ni lazima na yy aonyeshe moyo wa huruma kwa familia ya Kanumba na c kujishauwa kwenye media kama vile umeenda kwenye Kesi ya kugawana Mali na mtaraka wako this is stupid,unaonyesha furaha kwenye Kesi ya mauwaji? Halafu unachukulia vitu simple tu! Duh!Acha kumlisha maneno mange hakuna sehemu alosema kachukia kuwa karibu na hoyce,,Mange alimshauri vyema akae mbali na media mtu katoka mahakamani anarusha picha insta anatabasamu unadhan ndugu wa kanumba wanamfikiriaje,,Mange kamshauri vyema na kasema ukweli kabisaa
Mtoto wa sister wako kuonekana mdogo siyo kigezo cha lulu kutozaliwa mwaka 1996, mimi kuna dogo nimemzidi miaka 9, ila ukiniweka mimi na yeye, yeye anaonekana mkubwa zaidi yangu.Hahaha huyo mtoto hajazaliwa 1996 nakataa, mtu akisema 1994 sawa, na ukweli anaujua mwenyewe na hao wazazi wake, kama unaamini kweli alizaliwa 1996 sijui wazazi wake wamethibitisha ungekua ni ww mzazi let's say mwanao ndio Lulu usingefanya any means ili umuokoe? Kama ni mkweli mbona alijichanganya judge alivyohoji kuhusu leseni hapo juzi? Au na hiyo unahisi ameonewa?
Suala la Lulu kuzaliwa 1996 nalikataa kwa nguvu zote sababu enzi hizo anavuma kideoni home kulikua na mtoto wa sister yy amezaliwa 1996 na Lulu alionekana mkubwa kwa umbo na vingine vingi japokua mtadai Lulu amewahi kupata exposure ila ni UONGO KUA LULU KAZALIWA 1996
Inawezekana kweli, ila wengi wetu tunapata info hapa JF so tunazichukua kama zilivyo mkuu.Mbn mmekazania kajichanganya???mbn alijibu vizuri tu mm mwanahabari nilikuwepo..aliulizwa una leseni?? Akasema Ndio umeipata ln akasema baada ya matatzo..ss kajichanganya nn??? Mnashadadia Hata hamkuwepo.
Inawezekana kweli, ila wengi wetu tunapata info hapa JF so tunazichukua kama zilivyo mkuu.
Wape hi Sing'isi