Maneno ya kwny ukuta wa RELI

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
353
WanaJF niaje nimepita jana jion kwny njia panda kuelekea chang'ombe nikashangaa kukuta magal na folen kubwa 2uu alafu baada ya kufika pale kila m2 anacheka kuangalia nje ndo ninaona hayo maneno hv ni nan ameandika maneno mazur vle kwa yeyote aliesoma hebu andika hapa chin mm nimeona BORA KIWARAZA KULIKO UHENDISAM
 
Duh, inaelekea mwalimu wako wa darasa la kwanza alipata shida sana. Anastahili pongezi hata hivyo, maana hayo maneno yako yalivyokosa ushirikiano?
 
- Kusoma kuelewa kukesha mbwembwe.
- Mjamzito anaombwa rushwa ya ngono
 
- Kusoma kuelewa kukesha mbwembwe.
- Mjamzito anaombwa rushwa ya ngono
Ahahahaaaaah!! Unaweza ukaonekana chizi ukiwa ndani ya daladala kwa kucheka mwenyewe!! Kuna maneno huwa yanachekesha sana hasa kwenye magari na katika kuta kama hivyo!!!
 

Chalii umepiga valuu nini...............................
 
yaani nimecheka peke yangu,but ni ukweli ambao uko wazi,so the msg is clear!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…