Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,428
- 8,138
Kwenye nukuu zilizotolewa na ofisi ya Rais Rwanda kutoka kwa Rais Kagame ambaye aliyasema haya baada ya Rais Magufuli kuondoka Rwanda, ni pamoja na hii >>> ‘Kwa uongozi mpya, sasa Rwanda na Tanzania watafurahia uhusiano mzuri na kila tatizo litatuliwa‘