Maneno ya Busara!

Maneno ya Busara!

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,930
269220_10151851863200422_438802070_n.jpg
Maneno ya busara haya!
 
Haya chacha; wanaosema Mnyika kakosea kuthema dhaifu waseme ndiooooooooooooooo!!!!!!
 
Mnyika umefanya vizuri. Umesema, pamoja na kuwa na uchache wenu.
 
Safi sana kaka kwa kuleta hii. Ukweli utabaki ukweli tu.

Big up mnyika kwa kusema ukweli.
 
Safi sana kaka kwa kuleta hii. Ukweli utabaki ukweli tu.

Big up mnyika kwa kusema ukweli.

Kwa siasa, uongo utaendelea kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Nimeipenda sana

nadhani JJ, ZITTO & co waliisoma hii philosophy
 
Back
Top Bottom