Maneno machache ya Netanyahu akielekea U.S.A

Maneno machache ya Netanyahu akielekea U.S.A

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,641
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, asubuhi ya leo september 24, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben-Gurion, kabla ya kuondoka kuelekea Marekani kwa ziara ya kidiplomasia, ambapo atahutubia Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump:

"Sasa ninaondoka, pamoja na mke wangu, kuelekea Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNGA) na Washington. Katika Umoja wa Mataifa, nitasema ukweli wetu – ukweli wa wananchi wa Israeli, ukweli wa askari wa IDF, na ukweli wa taifa letu.

Nitawashutumu wale viongozi ambao, badala ya kuwalaani wauaji, wabakaji na wanaochoma watoto, wanataka kuwapa dola katikati ya Israeli. Hili halitatokea.

Huko Washington, nitakutana – kwa mara ya nne – na Rais Trump na nitajadili naye fursa kubwa ambazo ushindi wetu umetuletea, na haja yetu ya kukamilisha malengo ya vita: Kuwarudisha mateka wetu wote, kuishinda Hamas na kupanua duara la amani lililotuibukia kutokana na ushindi wetu wa kihistoria katika Operesheni Rising Lion na ushindi mwingine tulioupata.

Hii pia ni nafasi ya kuwatakia, wananchi wa Israeli na Taifa lote la Kiyahudi, Mwaka Mpya mwema – mwaka wa usalama, ustawi na amani."
 
Viva Jews an a jew bibi yangu ni myahudi falasha.
 
ISRAEL bila USA hamna Israel sasa Uingereza imesema imetosha nyote ni makoloni ya Uingereza USA na Israel bila Uingereza kusema Israel asingekuepo middle East yeye ndo aliwapa hiyo aridhi middle East hapo
 
ISRAEL bila USA hamna Israel sasa Uingereza imesema imetosha nyote ni makoloni ya Uingereza USA na Israel bila Uingereza kusema Israel asingekuepo middle East yeye ndo aliwapa hiyo aridhi middle East hapo
Israel imewahi kusurvive miaka na miaka bila msaada wa taifa lolote lile. Suala la kurudi kwao wangerudi tu hata kama Uingereza isingetumika kuwarejesha.
 
Kidugu kavurugwa ole wenu mjichanganye
**********

🇰🇵🗣 🟥romising
🟥artyrdom🟥peration🟥
(How Dare You?....🤫)
⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️🔴⚪️
⚠️North Korea Says It Will
Nuke Israel If They Kill Greta
🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟
🔴North Korea’s state media warned Tuesday that the country would consider nuclear retaliation if Israel attempted to harm Swedish climate activist Greta Thunberg.

➡️The warning, first carried by Pyongyang Radio and repeated on Korean Central Television (KCTV), described Thunberg as a “voice of conscience” for her outspoken criticism of Israel’s military campaign in Gaza.

➡️According to the broadcasts, senior government officials said that any attack on Thunberg would be treated as a “grave provocation” and could trigger a response “against the heart of the Zionist regime.”

✅Analysts noted that while North Korea frequently issues sharp rhetoric against Israel and the United States, the linkage of its nuclear posture to the safety of a Western activist is unusual and signals an effort to broaden its image as a defender of anti-imperialist voices worldwide.

🪓🔥@theAxisofTruth
 
ISRAEL bila USA hamna Israel sasa Uingereza imesema imetosha nyote ni makoloni ya Uingereza USA na Israel bila Uingereza kusema Israel asingekuepo middle East yeye ndo aliwapa hiyo aridhi middle East hapo
Israel ni moja kingdom kongwe na hatimaye taifa,duninia.
walikuwa wakisaidiwa na nani kabla ya US na Uingereza kuundwa?.
 
Kidugu kavurugwa ole wenu mjichanganye
**********

🇰🇵🗣 🟥romising
🟥artyrdom🟥peration🟥
(How Dare You?....🤫)
⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️🔴⚪️
⚠️North Korea Says It Will
Nuke Israel If They Kill Greta
🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟
🔴North Korea’s state media warned Tuesday that the country would consider nuclear retaliation if Israel attempted to harm Swedish climate activist Greta Thunberg.

➡️The warning, first carried by Pyongyang Radio and repeated on Korean Central Television (KCTV), described Thunberg as a “voice of conscience” for her outspoken criticism of Israel’s military campaign in Gaza.

➡️According to the broadcasts, senior government officials said that any attack on Thunberg would be treated as a “grave provocation” and could trigger a response “against the heart of the Zionist regime.”

✅Analysts noted that while North Korea frequently issues sharp rhetoric against Israel and the United States, the linkage of its nuclear posture to the safety of a Western activist is unusual and signals an effort to broaden its image as a defender of anti-imperialist voices worldwide.

🪓🔥@theAxisofTruth
Kim kina xi na Putin wamemwingixa kwenye mfumo
 
Israel piga magaidi hao, tusaidieni kufuta kizazi cha kishenzi cha kigaidi.
It’s moral bankruptcy and Inhuman, kufurahia mauaji ya watoto ni kwasabbu unawachukia waislamu ndio maana hauoni ubaya wa hilo.
.
 
Israel ni moja kingdom kongwe na hatimaye taifa,duninia.
walikuwa wakisaidiwa na nani kabla ya US na Uingereza kuundwa?.
Waisraeli walikuwa dhaifu Waliishi kama makabila madogo kwenye himaya kubwa mfano Egypt, Assyria, Babylon, Persia, Rome walishindwa vita nyungi wakaishia utumwani (Babylonian Exile).vita vya kwanza na pili walikua scattered hawana makazi maalumu hilter akawachoma moto hadi 1948 Marekani na Uingereza walivyowapa inchi kimabavu .

Kitu walichofanikiwa Israel ni kuteka akili za wakristo na kuwatumia kama tools ya mambo yao na amefanikiwa haswa
20250923_064240.jpg
 
Waisraeli walikuwa dhaifu Waliishi kama makabila madogo kwenye himaya kubwa mfano Egypt, Assyria, Babylon, Persia, Rome walishindwa vita nyungi wakaishia utumwani (Babylonian Exile).vita vya kwanza na pili walikua scattered hawana makazi maalumu hilter akawachoma moto hadi 1948 Marekani na Uingereza walivyowapa inchi kimabavu .

Kitu walichofanikiwa Israel ni kuteka akili za wakristo na kuwatumia kama tools ya mambo yao na amefanikiwa haswa
View attachment 3479133
Mimi sijauliza ikiwa waisrael ni dhaifu ama sio dhaifu..mimi nimeuliza; kabla ya US na Uingereza hajakuwepo wali survive vipi? what if huo udhaifu wao unaousema ndiyo ulifanya na ndiyo unafanya wasavaivu sasa na ndiyo utafanya wasaivavu na kesho?.
Nb; ukiona mkristo kashikwa akili katika jambo flan ujue jambo hilo hilo litamtoa Roho muislam maana capacity thinking ya mkristo mmoja ni equivalent capacity thinking ya waislam kumi na bado wataacha mashaka katika reasoning yao.
 
Survival yao haikuwa kama taifa,ilikua kama jamii ya kidini na kitamaduni.
Mimi sijauliza ikiwa waisrael ni dhaifu ama sio dhaifu..mimi nimeuliza; kabla ya US na Uingereza hajakuwepo wali survive vipi? what if huo udhaifu wao unaousema ndiyo ulifanya na ndiyo unafanya wasavaivu sasa na ndiyo utafanya wasaivavu na kesho?.
Nb; ukiona mkristo kashikwa akili katika jambo flan ujue jambo hilo hilo litamtoa Roho muislam maana
Akili haina dini na hakuna kipimo cha IQ kinachoonyesha mtu wa dini fulani ana akili zaidi.

Kuna Waislamu wabunifu na wajinga, kama ilivyo kwa Wakristo.

capacity thinking ya mkristo mmoja ni equivalent capacity thinking ya waislam kumi na bado wataacha mashaka katika reasoning yao.
 
Survival yao haikuwa kama taifa,ilikua kama jamii ya kidini na kitamaduni.

Akili haina dini na hakuna kipimo cha IQ kinachoonyesha mtu wa dini fulani ana akili zaidi.

Kuna Waislamu wabunifu na wajinga, kama ilivyo kwa Wakristo.
Jamii haiwezekuwa Taifa kwa mantik gani?.
Mfn; unajua nchi zote za ulaya zilikuwa ni jamii ambazo leo ni Mataifa?.
wagiriki ni jamii,leo ni Taifa,waingereza ni jamii leo ni Taifa ila jamii ya Wayahudi kuwa Taifa ndiyo inakuwa hoja?.

Dini haiwezi kuwa taifa kwa mantik ipi?. unajua Umma wa Muhammad unakusudia kuja kuwa Taifa? why dini ya Kiyahudi kuwa Taifa inakuwa hoja?.

Unajua Taifa la Armenia ni waumini wa Kikristo ndiyo waliamua kuunda Taifa la Armenia? why Dini ya Kiyahudi kufanya hivyo imekuwa Nogwa?.
Lastly; Dini ya kiislamu ni kimbilio la watu wenye matatizo ya akili .reasoning yao ni ndogo sana Pengine kuliko watu Dini zingine zote.
Kwenye vijiwe vya kahawa wanapenda kuanzisha mijadala ikiwa Mwana wa Mungu ni Mungu.sasa unajiuliza; inayamkinikaje Mtu mwenye akili timamu ahoji ikiwa Mtoto wa Mbwa ni Mbwa!..ukiondoa tatizo la akili hakuna wa kuhoji swali kama ilo.
 
Jamii haiwezekuwa Taifa kwa mantik gani?.
Mfn; unajua nchi zote za ulaya zilikuwa ni jamii ambazo leo ni Mataifa?.
wagiriki ni jamii,leo ni Taifa,waingereza ni jamii leo ni Taifa ila jamii ya Wayahudi kuwa Taifa ndiyo inakuwa hoja?.

Dini haiwezi kuwa taifa kwa mantik ipi?. unajua Umma wa Muhammad unakusudia kuja kuwa Taifa? why dini ya Kiyahudi kuwa Taifa inakuwa hoja?.

Unajua Taifa la Armenia ni waumini wa Kikristo ndiyo waliamua kuunda Taifa la Armenia? why Dini ya Kiyahudi kufanya hivyo imekuwa Nogwa?.
Lastly; Dini ya kiislamu ni kimbilio la watu wenye matatizo ya akili .reasoning yao ni ndogo sana Pengine kuliko watu Dini zingine zote.
Kwenye vijiwe vya kahawa wanapenda kuanzisha mijadala ikiwa Mwana wa Mungu ni Mungu.sasa unajiuliza; inayamkinikaje Mtu mwenye akili timamu ahoji ikiwa Mtoto wa Mbwa ni Mbwa!..ukiondoa tatizo la akili hakuna wa kuhoji swali kama ilo.
mataifa huanzia kama jamii, lakini tofauti ya israeli na mataifa mengine jamii nyingi zimejenga dola zao kwa mapambano ya ndani, sio kwa kwa kukabidhiwa kama waingereza walivyofanya

Wagiriki walikuwa na ardhi yao, walipoteza, wakapigania uhuru, wakarudisha wenyewe. Waingereza vilevile walijenga dola lao kwa nguvu zao.

Wayahudi walikua hawana jamii yenye sehemu maalumu kwa zaidi ya miaka 1800, walikua tu kama dini au mila kwenye jamii za watu

Hadi Marekani Na Uingereza walichokifanya mwaka 1948
 
Dini ya kiislamu ni kimbilio la watu wenye matatizo ya akili .reasoning yao ni ndogo sana Pengine kuliko watu Dini zingine zote.
Kwenye vijiwe vya kahawa wanapenda kuanzisha mijadala ikiwa Mwana wa Mungu ni Mungu.sasa unajiuliza; inayamkinikaje Mtu mwenye akili timamu ahoji ikiwa Mtoto wa Mbwa ni Mbwa!..ukiondoa tatizo la akili hakuna wa kuhoji swali kama ilo.
Usibishane kwa feelings toa hoja za kimaana

Kama swali ni rahisi , kwa nini kulikuwa na mijadala mikubwa ya karne nyingi kwa viongozi ns makanusa yenu ,Nicaea 325 AD, Chalcedon 451 AD, Luther vs Katoliki, Orthodox vs Protestants

Swala la Yesu lingekuwa jepesi basi lingekuwa obvious pia kwenye bibilia na mkanisa . Lakini ukweli ni kwamba hata viongozi wa dini yako hawaelewani mpaka leo.

Kwa hiyo tatizo si akili za Waislamu kuuliza, bali udhaifu wa imani yenu yenyewe isiyojieleza wazi.
 
Back
Top Bottom