saa 6 usiku huu nikikosa jibu la maana napote hata mawasiliano nae nafuta kabisa ili nianze moja siku inayofuatahapo anakusonya
tembelea wakala wa m-pesa uliye karibu naye mtumie huyo dada noti za kutosha nakuhakikishia meseji za hivyo hautaziona tena
otherwise endelea kung'aa sharubu na kisimu chako cha itel
never take me seriously
Mtoto huyo na wewe mtoto piaShunie middle 20 mtoto????
Hahaha bado upo sekondari???Sio ajabu nikiwakumbusha wanafunzi wenzangu kuwa kesho form four wataanza paper.si wengine wa form three na two tubakie home tu
Aisee nawachukia wa hivyo, yaani mtu akiandika msg hivyo tu namuweke kwenye mrengo tofauti sana.Bado hawajakua wala kukomaa kiakili ndugu zao wa karibu ni wenye uandishi wa x badala aya s p badala ya poa k badala ya okay sw badala ya sawa baba yao ni mmoja mama yao tofauti.
Kumbe huwa tunapigazana kelele na watoto wetu humu.. DohSio ajabu nikiwakumbusha wanafunzi wenzangu kuwa kesho form four wataanza paper.si wengine wa form three na two tubakie home tu