kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
1. Kijana wangu, kama unafanya matumizi kwa msichana ambaye hakuulizi kama umeweka akiba au umefungua mradi, na anaendelea kufurahia matumizi, usimuoe.
2. Kijana wangu, Mwanamke anaweza kuwa mke mzuri kwako, mwingine anaweza kuwa mama mzuri wa watoto wako ila kama utapata mwanamke anakuwa kama mama kwako, kwa watoto na familia yako, tafadhali usimwache aondoke
3. Kijana wangu, mke wako asiwe kazi yake ni jikoni tu, Wapi tumiambiwa kazi ya mke ni jikini tu. Katika miaka yetu tulikuwa na mashamba, ambayo tulikuwa tukilima kwa pamoja na ndio ilikuwa ofisi yetu.
4. Kijana wangu, Kama nikikuambia wewe ndiye kiongozi wa nyumba, simaanishi uangalie ukubwa wa mfuko wako, namaanisha uwe unaangalia sura ya mke wako kama anatabasabu
5. Kijana wangu, Kama unaitaji maisha marefu. Acha mke wako awe in-charge wa mshahara wako, itakuwa ngumu kwa yeye kufanya matumizi fika akitambua kuna mahitaji nyumbani na ya kulipa bills. Kama utayafanya wewe, atakuwa anakuuliza mara kwa mara na pengine mahitaji ambayo yatakuwa tayari yamefanyika
6. Kijana wangu, Usimpige mke wako, maumivu atakayo yapata katika mwili wake huwezi fananisha na jeraha atakalo kuwa nalo moyoni. Utakuwa kwenye tatizo kuishi na mwanamke aliye na majeraha moyoni.
7. Kijana wangu, sasa umeoa, kama utaishi maisha ya kibachela wakati una mke, tambua mda mfupi utakuwa single tena.
8. Kijana wangu, miaka yetu, tulikuwa na wake wengi na watoto wengi sababu tulikuwa na mashamba makubwa yenye mavuno mengi, mashamba ya kulima kipindi hichi mtu kuwa nayo makubwa nadra sana, kwa hiyo muweke mke wako karibu sana
9. Kijana wangu, chini ya mbuni ambao nilikutana na mama yako, kwa wakati wenu ni hoteli na migahawa, kumbuka, ule mficho tulio ufanya siku hiyo ni kila moja kumkumbatia mwenzake.
10. Kijana wangu, pindi ukianza kupata pesa nyingi, badala ya kufanya matumizi na mahawara ambao hawajui kwa ugumu upi ulizipata hizo pesa, tafadhali fanya matumizi na mwanamke ambaye anasimama na wewe miguu yote kila wakati
11. Kijana wangu, Pindi nikitupa kijiwe kidogo au kupiga kimluzi nyumbani kwa kina mama yako kipindi hicho, si kwa sababu ya sex, ni kwa sababu nilimkumbuka sana
12. Kijana wangu, pindi ukisema mke wako amabadilika, kuna uwezekano wa kitu fula unafanya, tafadhali acha haraka sana.
13. Kijana wangu, Mama yako alisukuma bicycle na mimi hapo zamani kabla sijamnunulia mgongo wa chura iliyopo njee pale, mwanamke yeyote ambaye hata kubaliana na wewe katika madogo muanzapo, hata enjoy utajiri wako.
14. Kijana wangu, Usimfananishe mke wako na mwanamke yeyote, na kuna njia ya wewe kujiweka na yeye hata kufananisha na mwanaume yeyote
15. Kijana wangu, Nilimkuta mama yako ni bikra na nilitoa mahari kubwa sana kwa wazazi wake, sikukatazi kama utamkuta mke wako siyo bikira kwa sababu wakati wenu na wetu ni tofauti.
16. Kijana wangu, Sikuwapeleka dada zako shule kwa sababu nilikuwa mjinga kwa kufikia kwamba mwanamke abebi jina la familia, tafadhali usifanye kosa hili, kwa aina ya wanawake wenye mafanikio nikiwaona siku hizi wamefanya jinsia ya kike kuwa juu sana.
17. Kijana wangu, Mama yako na Mimi hatufurahishwi na kila kinachotokea kwenye ndoa yako, jaribu kukabiliana nayo na sii kila mara unakuja kwetu.
18. Kijana wangu, Nilimnunulia mama yako cherehani, msaidie mke wako atimize ndoto zake kama wewe utimizapo
19. Kijana wangu, usiache kunijali mimi na mama yako, ni siri ya kuwa mzee na kuwa na watoto wa kukujali wewe pia.
20. Kijana wangu, Sali wewe na familia yako, kuna kesho ambayo uijuwi, ongea na Mungu ambaye anajua kila kitu, kila siku
21. Kijana wangu, Nimechukuwa muda mwingi kukuambia yote haya na ndoa yako haita koma kama ya mama yako na mimi, wewe utakuwa kidume.
Nimekopy kutoka Nailands
2. Kijana wangu, Mwanamke anaweza kuwa mke mzuri kwako, mwingine anaweza kuwa mama mzuri wa watoto wako ila kama utapata mwanamke anakuwa kama mama kwako, kwa watoto na familia yako, tafadhali usimwache aondoke
3. Kijana wangu, mke wako asiwe kazi yake ni jikoni tu, Wapi tumiambiwa kazi ya mke ni jikini tu. Katika miaka yetu tulikuwa na mashamba, ambayo tulikuwa tukilima kwa pamoja na ndio ilikuwa ofisi yetu.
4. Kijana wangu, Kama nikikuambia wewe ndiye kiongozi wa nyumba, simaanishi uangalie ukubwa wa mfuko wako, namaanisha uwe unaangalia sura ya mke wako kama anatabasabu
5. Kijana wangu, Kama unaitaji maisha marefu. Acha mke wako awe in-charge wa mshahara wako, itakuwa ngumu kwa yeye kufanya matumizi fika akitambua kuna mahitaji nyumbani na ya kulipa bills. Kama utayafanya wewe, atakuwa anakuuliza mara kwa mara na pengine mahitaji ambayo yatakuwa tayari yamefanyika
6. Kijana wangu, Usimpige mke wako, maumivu atakayo yapata katika mwili wake huwezi fananisha na jeraha atakalo kuwa nalo moyoni. Utakuwa kwenye tatizo kuishi na mwanamke aliye na majeraha moyoni.
7. Kijana wangu, sasa umeoa, kama utaishi maisha ya kibachela wakati una mke, tambua mda mfupi utakuwa single tena.
8. Kijana wangu, miaka yetu, tulikuwa na wake wengi na watoto wengi sababu tulikuwa na mashamba makubwa yenye mavuno mengi, mashamba ya kulima kipindi hichi mtu kuwa nayo makubwa nadra sana, kwa hiyo muweke mke wako karibu sana
9. Kijana wangu, chini ya mbuni ambao nilikutana na mama yako, kwa wakati wenu ni hoteli na migahawa, kumbuka, ule mficho tulio ufanya siku hiyo ni kila moja kumkumbatia mwenzake.
10. Kijana wangu, pindi ukianza kupata pesa nyingi, badala ya kufanya matumizi na mahawara ambao hawajui kwa ugumu upi ulizipata hizo pesa, tafadhali fanya matumizi na mwanamke ambaye anasimama na wewe miguu yote kila wakati
11. Kijana wangu, Pindi nikitupa kijiwe kidogo au kupiga kimluzi nyumbani kwa kina mama yako kipindi hicho, si kwa sababu ya sex, ni kwa sababu nilimkumbuka sana
12. Kijana wangu, pindi ukisema mke wako amabadilika, kuna uwezekano wa kitu fula unafanya, tafadhali acha haraka sana.
13. Kijana wangu, Mama yako alisukuma bicycle na mimi hapo zamani kabla sijamnunulia mgongo wa chura iliyopo njee pale, mwanamke yeyote ambaye hata kubaliana na wewe katika madogo muanzapo, hata enjoy utajiri wako.
14. Kijana wangu, Usimfananishe mke wako na mwanamke yeyote, na kuna njia ya wewe kujiweka na yeye hata kufananisha na mwanaume yeyote
15. Kijana wangu, Nilimkuta mama yako ni bikra na nilitoa mahari kubwa sana kwa wazazi wake, sikukatazi kama utamkuta mke wako siyo bikira kwa sababu wakati wenu na wetu ni tofauti.
16. Kijana wangu, Sikuwapeleka dada zako shule kwa sababu nilikuwa mjinga kwa kufikia kwamba mwanamke abebi jina la familia, tafadhali usifanye kosa hili, kwa aina ya wanawake wenye mafanikio nikiwaona siku hizi wamefanya jinsia ya kike kuwa juu sana.
17. Kijana wangu, Mama yako na Mimi hatufurahishwi na kila kinachotokea kwenye ndoa yako, jaribu kukabiliana nayo na sii kila mara unakuja kwetu.
18. Kijana wangu, Nilimnunulia mama yako cherehani, msaidie mke wako atimize ndoto zake kama wewe utimizapo
19. Kijana wangu, usiache kunijali mimi na mama yako, ni siri ya kuwa mzee na kuwa na watoto wa kukujali wewe pia.
20. Kijana wangu, Sali wewe na familia yako, kuna kesho ambayo uijuwi, ongea na Mungu ambaye anajua kila kitu, kila siku
21. Kijana wangu, Nimechukuwa muda mwingi kukuambia yote haya na ndoa yako haita koma kama ya mama yako na mimi, wewe utakuwa kidume.
Nimekopy kutoka Nailands