NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,520
- 17,426
Nakumbuka kabla msimu uliopita haujaanza nilibishana sana na mashabiki wa Man utd,chelsea na Arsenal!
Eti pale chelsea alikuwepo LamparAr Arsenal yupo Arteta na Man utd yupo OlNi Nikawaambia wamiliki wa hizi timu wamechanganyikiwa? Inakuaje Everton ina AncelotSp Spurs ina Mourinho na newcastle alikuwepo Benitez halafu wao wameajiri mameneja ambao hawajashinda chochotLa Labda wamelogwa!
Chelsea wakamtimua lampard !Tuchel kaja na Taji la Uefa!Man utd na Arsenal Bado viburi na timu zao zina matokeo ya hovyo!hazipo kwenye mbio zd ubingwa labda top four tena ya mashaka sana!
The Glazers na Kroenke's wamelogwa na nani hasa? Nani kawaambia watashinda mataji makubwa kwa vikocha kama hivwan
Wanaogopa nini hasa?Nauhakika kabisa man utd ya Ronaldo hata top four haitoingia kabisa wala Arsenal ya Arteta!!
Pole mashabiki wa man u na The gunners!
Maumivu yenu yatakuwa ya muda mrefu sana!!!
Eti pale chelsea alikuwepo LamparAr Arsenal yupo Arteta na Man utd yupo OlNi Nikawaambia wamiliki wa hizi timu wamechanganyikiwa? Inakuaje Everton ina AncelotSp Spurs ina Mourinho na newcastle alikuwepo Benitez halafu wao wameajiri mameneja ambao hawajashinda chochotLa Labda wamelogwa!
Chelsea wakamtimua lampard !Tuchel kaja na Taji la Uefa!Man utd na Arsenal Bado viburi na timu zao zina matokeo ya hovyo!hazipo kwenye mbio zd ubingwa labda top four tena ya mashaka sana!
The Glazers na Kroenke's wamelogwa na nani hasa? Nani kawaambia watashinda mataji makubwa kwa vikocha kama hivwan
Wanaogopa nini hasa?Nauhakika kabisa man utd ya Ronaldo hata top four haitoingia kabisa wala Arsenal ya Arteta!!
Pole mashabiki wa man u na The gunners!
Maumivu yenu yatakuwa ya muda mrefu sana!!!