TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Hoja haiendani kabisa na kichwa cha habari!world=dunia!!! unapoongelea Chelsea, liverpool, Arsenal na Manchester City ndiyo unaongelea dunia?au hujui unachokiongea?Hivi ni kwanini Manchester united ikicheza na timu nyingine mashabiki wa Chelsea, liverpool, Arsenal na Manchester City wanaishambulia? Huu ni ushabiki wa mpira kweli au personal fanatic?