Manchester united against world

Manchester united against world

iFreak_os

Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
47
Reaction score
4
Hivi ni kwanini Manchester united ikicheza na timu nyingine mashabiki wa Chelsea, liverpool, Arsenal na Manchester City wanaishambulia? Huu ni ushabiki wa mpira kweli au personal fanatic?
 
Bcz united are tha most succesful club in historu
 
424273_10151370048854233_613199851_n.jpg
Hivi ni kwanini Manchester united ikicheza na timu nyingine mashabiki wa Chelsea, liverpool, Arsenal na Manchester City wanaishambulia? Huu ni ushabiki wa mpira kweli au personal fanatic?
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside,
wanapewa pernat za bure na uwongo
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,.
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside,
wanapewa pernat za bure na uwongo
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,.
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u

Umeongea ukweli 110%
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside,
wanapewa pernat za bure na uwongo
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,.
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u

Mkuu umejitahidi kidoogo,sio waamuzi tu,Mau U inapendwa na chama cha FA,inapendwa na UEFA,inapendwa na makocha wengine karibu wote,inapendwa na queen,inapendwa na waziri mkuu wa uingereza pamoja na marais dunia nzima,inapendwa na wazee,wamama,watoto(hadi wachanga),tunamalizia na Mungu..kiujumla dunia nzima kasoro fans wa hizo timu mlizotaja hapo juu!!jiulize basi,kwann ipendwe na dunia nzima??jibu unalo
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside,
wanapewa pernat za bure na uwongo
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,.
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u

Manchester united mfumo wao wa uchezaji wanapendelea sana mechi kuifanya ionekane ngumu, ndio maana unaweza ukakuta manchester ikicheza na vibonde huzidiwa hata ball possesion, ile pekee inawafanya watu (especially wapinzani) wawe wanatizama game kwa umakini. Manchester wakiamua kuleta burudani basi huwa na burudani kweli kweli, kuna mechi ilipigwa old trafford kati ya united na arsenal mechi ya FA CUP semi final kama sikosei, arsenal akala mikwaju minne, burudani ya arsenal haikuonekana uwanjani. Na tizama mechi nyingi za arsenal na man united kisha utakuja kusema kuwa arsenal hawana burudani kuliko man utd, pass zao ziko slow, hazina mvuto...... Lkn united wanacheza pass za haraka na kusukuma counter na kutia goli. Mpira magoli, mkali wa burudani uingereza ana miaka mingapi hajachukua kombe?? Je burudani hiyo ina umuhimu? :-D
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside,
wanapewa pernat za bure na uwongo
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,.
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u


Mfano mzuri wa watu wanaoichukia Man Utd. Umefuka povu bila hata kuweka supporting facts.
 
Mkuu umejitahidi kidoogo,sio waamuzi tu,Mau U inapendwa na chama cha FA,inapendwa na UEFA,inapendwa na makocha wengine karibu wote,inapendwa na queen,inapendwa na waziri mkuu wa uingereza pamoja na marais dunia nzima,inapendwa na wazee,wamama,watoto(hadi wachanga),tunamalizia na Mungu..kiujumla dunia nzima kasoro fans wa hizo timu mlizotaja hapo juu!!jiulize basi,kwann ipendwe na dunia nzima??jibu unalo

hujamalizia inapendwa hadi na shetani hadi na wapinga kristu nimewagusa kunako mnatoka povu tu
 
Mfano mzuri wa watu wanaoichukia Man Utd. Umefuka povu bila hata kuweka supporting facts.

facts ni gem za man u na live na man u na chels round ya kwanza msimu huu zitafte, hyo ni punje tu ukitaka zaidi endelea kuangalia mechi za man uone vituko vya soka
 
Hivi miaka yote hawa jamaa wanapendelewa? Tusubiri UEFA na Los Blancos.
 
Kwasababu wanapendwa sana na waamuzi, wanawapa goli za offside, <br />
wanapewa pernat za bure na uwongo<br />
, wapinzani wao hata mchezaji wa man u adake kwenye 18 hapewi penart.<br />
Wapinzani wanapigwa redcard bila makosa yanayotakiwa upewe hadhabu hyo.<br />
Mpira wao hauna mvuto zaid ya marafu mengi na burudanii haipo zaidi ni kusubiri matokeo baada ya dakika 90,. <br />
Ndio mana huwezi kuta mtu mwenye akili akashabikia man u
Acha mawazo mgondo ww anamaana wote tunao shabikia man united hatuna akili?? Omba radhi kwa mashabiki wote wa united!!! Maana sijui umetumia nn kufikiri! Mechi dhidi ya Liverpool ilitoka kadi gani? Achakuongea vitu vya kitoto! Kwahio ww ndo unaakili sana!!anzisha na ww club yako tuone! !acha ushabiki wa kitoto
 
Hivi wilfried Zaha amesajiliwa na timu gani vile?

Sasa huyu dogo akija waumiza washika bunduki wa kaskazini mwa london watu watanuna.

Naandika hivi kwa sababu Wenger alikua na nafasi ya kumpata huyu dogo wa selhust park miezi 2 iliyopita lakini kabugi.

Makocha wanawauzia man utd top star wao ambao wanauwezo wa kutupia angalau goli 25 kwa msimu,sasa unategemee mashabiki wa hizo timu wasichukie mafanikio ya man utd.

Man utd pia wanaongeza maadui kwa kununua wachezaji tegemeo wa timu zingine ambazo aziko top 4 ya EPL kama CARRICK toka tottenham,Valencia toka Wigan,Young toka aston villa,Van der sar toka Fulam,Rooney toka everton,rio toka leeds utd na wengine wengi miaka ya nyuma.

Sasa chuki zingine za mpira hazisahauliki kirahisi.

Suala la waamuzi ni tatizo sugu ulimwenguni.siyo tu ktk EPL ila kote katika ligi na hata katika michuano mikubwa kama kombe la mataifa ya afrika,dunia na hata hizi klabu bingwa baadhi ya waamuzi wanavurunda ile mbaya.

Mashabiki wengine hawafuatilia timu zao au za wenzao katika vyombo vya habari kwa umakini,mfano kabla ya mechi yoyote EPL,Championship,ligi one au conference north au south wanakawaida ya kuweka wazi wachezaji wapi wako majeruhi na wapi wako fiti pia wangapi wanahitaji kupata kibali muda mchache kabla ya mechi kutoka kwa dokta wa timu kama wanaweza cheza.

Sasa aina hii ya mashabiki hutoka majumbani mwao kwenda angalia timu zao au wapinzani wao kwa matumaini makubwa ya ushindi wakifika pale wanakuta wachezaji waliwatarajia hawapo na wanapoteza mechi au timu wanayotaka ifungwe kama man utd inashinda tena kwa goli zaidi ya 2 au 3. Hii kitu huwatokea hata wanaangalizia mipira majumbani.

Watu wengine wanaleta mashtak eti chama cha mpira cha England kinataka man utd iwe inakua mabingwa. Hayo ni mawazo finyu sana kwa mpenda soka. EPL siyo serie A au B wazee wa kifix mechi.

Anayetaka kujua zaidi tafuta TIMU YA CRICKET YA PAKSTAN 2011 kiliwatokea nini au MICHAEL CHOPRA kafikwa na janga gani.
 
1.Timu yoyote ile inaweza kufunga goli la kuzidi hata iwe mbovu vipi. Hayo ni makosa ya asaidizi wa ref kwa 60% na 40% makosa ya mwamuzi wa katikati.Kama goli la Drogba old trafford miaka kadhaa iliyopita.


2.Suala la penati siyo kosa la msingi kwa MWAMUZI kama unafuatilia EPL.Natoa mifano miwili katika mechi ambazo naamini watu wengi walianagalia.

John Evans hakua na sababu ya kumkwatu baloteli. Angemuacha aende kama baloteli angefunga ingekua 2-1
na kama angekosa ingekua 1-1 na john evans angekua uwanjani.Sasa kama angekua 2-1 kwa man city na
wako 11 kila timu man utd wangekua na nafasi ya kusawazisha. Matokeo ya kutolewa kwa evans wote tuliyaona nasema hivi kwa kuwa historia ya zaidi ya miaka 30 ilijirudia pale.


laurent koscielny hakua na sababu ya kumkumbatia dzeko na kumzuia asifunge goli. Angemuacha afunge
iwapo angefunga ingekua 1-0 to man city yule beki angekua salama pia iwapo angekosa huyu beki angekua salama. Timu zote zingekua na wachezaji 11 kila moja.

3.Sasa unataka tuambia hawa wachezaji hawakutaki kupewa adhabu hizo. Vipi kuhusu EDIN Hazard na muokota mipira?

4.Watu waache kukariri mvuto wa mpira jamani karne hii. Jaribu kutafuta muda angalia hata ligi zingine alafu tulinganishe na EPL utagundua EPL ina mvuto kuliko hata ligi hizo. Kama spain timu ni 2 tu sizitaji,Italia hakuna mpira kabisa siku hizi.Kusingekua na klabu bingwa ya ulaya hawa jamaa tungewasahau kabisa.

5.Vipi lile tuta walopewa arsenal wakati wanakipiga na wigan linamuhusu walcott miezi kadhaa iliyopita?

6.Sasa naamini watu wenye akili wanapimwa kwa kushabikia timu ambazo zinaishia kumaliza ligi mikono mitupu.
 
Back
Top Bottom