Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,067
- 2,302
Aibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na kuuliza jambo.
Aibu ya pili ni GSM kutoa milioni 10. GSM waandaaji mnatoa milioni 10? Aibu.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na kuuliza jambo.
Aibu ya pili ni GSM kutoa milioni 10. GSM waandaaji mnatoa milioni 10? Aibu.