MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
Wakuu,
Nimemsikia Haji Manara na Bumbuli leo kwa nyakati tofauti wakiwamwigia sifa wachezaji wetu kuwa ni bora sana na mziki wao si wa kitoto. Nimesoma facial expressions za hawa jamaa zetu ni dhahiri wanataka kufanya wachezaji na timu nzima wasipanie hii game.
Kama mmegundua maneno ya kuibeza Simba kutolewa na Orlando yamepungua na sasa wanataka kutujaza na sifa ili tubweteke kama tulivyo Waafrika na kupunguza hasira za wachezaji kulipa kisasi kupitia deby.
Hizi sifa zilituponza game nyingi za Yanga wachezaji wetu wakiingia kama Giant against underdog Yanga na kuishia kucheza kwa ari ndogo.
Wachezaji wetu kuwapokea vizuri baada ya game ya Orlando na sifa hizi zinazoibuka zisiwapumbaze. Hata kama tuna professional players lakini tabia za kiafrika zinafanana.
Nimemsikia Haji Manara na Bumbuli leo kwa nyakati tofauti wakiwamwigia sifa wachezaji wetu kuwa ni bora sana na mziki wao si wa kitoto. Nimesoma facial expressions za hawa jamaa zetu ni dhahiri wanataka kufanya wachezaji na timu nzima wasipanie hii game.
Kama mmegundua maneno ya kuibeza Simba kutolewa na Orlando yamepungua na sasa wanataka kutujaza na sifa ili tubweteke kama tulivyo Waafrika na kupunguza hasira za wachezaji kulipa kisasi kupitia deby.
Hizi sifa zilituponza game nyingi za Yanga wachezaji wetu wakiingia kama Giant against underdog Yanga na kuishia kucheza kwa ari ndogo.
Wachezaji wetu kuwapokea vizuri baada ya game ya Orlando na sifa hizi zinazoibuka zisiwapumbaze. Hata kama tuna professional players lakini tabia za kiafrika zinafanana.