Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Wakuu,
Niweke wazi kuwa, mimi ni Shabiki kindaki ndaki wa Man United.
Haya ninayoyasema, ni ukweli mtupu na nikutokana na kuwa, mizani imeelemea upande wa man Utd.
Man utd kufanya come back ya nguvu vs Newcastle na bodi ya Utd kuweka wazi kuwa, Mourinho is the right man for the job hata afungwe vipi hafukuzwi, basi hivi ndivyo vitavyoipa nguvu utd kuifunga Chelsea Jumamosi.
Chelsea anakufa vizur kabisa kwenye uwanja wake wa nyumbani. Wapo mtaobisha ila ipo wazi.
Najua blues mtavimba na kubisha ila tuje hapa Jumamosi jioni kupeana Mlisho-Nyuma
Niweke wazi kuwa, mimi ni Shabiki kindaki ndaki wa Man United.
Haya ninayoyasema, ni ukweli mtupu na nikutokana na kuwa, mizani imeelemea upande wa man Utd.
Man utd kufanya come back ya nguvu vs Newcastle na bodi ya Utd kuweka wazi kuwa, Mourinho is the right man for the job hata afungwe vipi hafukuzwi, basi hivi ndivyo vitavyoipa nguvu utd kuifunga Chelsea Jumamosi.
Chelsea anakufa vizur kabisa kwenye uwanja wake wa nyumbani. Wapo mtaobisha ila ipo wazi.
Najua blues mtavimba na kubisha ila tuje hapa Jumamosi jioni kupeana Mlisho-Nyuma