Yakubali kipigo kingine cha 1-0 toka kwa Newcastle United.Ni bao la dakika ya 61 ya mchezo uliochezwa Old Trafford. Limefungwa na Yohan Cabaye,kiungo mfaransa aliyeitesa vilivyo Man U leo mchezoni. Sasa Man U ni ya tisa ikiwa na alama 22.Yaweza kuwa ya 10 kama Aston Villa itashinda mchezo wake.
Man U ni gonjwa...