Man United gonjwa!!!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,173
25,446
Yakubali kipigo kingine cha 1-0 toka kwa Newcastle United.Ni bao la dakika ya 61 ya mchezo uliochezwa Old Trafford. Limefungwa na Yohan Cabaye,kiungo mfaransa aliyeitesa vilivyo Man U leo mchezoni. Sasa Man U ni ya tisa ikiwa na alama 22.Yaweza kuwa ya 10 kama Aston Villa itashinda mchezo wake.

Man U ni gonjwa...
 
Yakubali kipigo kingine cha 1-0 toka kwa Newcastle United.Ni bao la dakika ya 61 ya mchezo uliochezwa Old Trafford. Limefungwa na Yohan Cabaye,kiungo mfaransa aliyeitesa vilivyo Man U leo mchezoni. Sasa Man U ni ya tisa ikiwa na alama 22.Yaweza kuwa ya 10 kama Aston Villa itashinda mchezo wake.

Man U ni gonjwa...

usiofu,ubingwa ni wa man
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom