Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,173
- 25,446
Yakubali kipigo kingine cha 1-0 toka kwa Newcastle United.Ni bao la dakika ya 61 ya mchezo uliochezwa Old Trafford. Limefungwa na Yohan Cabaye,kiungo mfaransa aliyeitesa vilivyo Man U leo mchezoni. Sasa Man U ni ya tisa ikiwa na alama 22.Yaweza kuwa ya 10 kama Aston Villa itashinda mchezo wake.
Man U ni gonjwa...
Man U ni gonjwa...