Mamtu mengine bwanaa! Sijui ni vituko! Ama nini ! Mimi sina jibu sahihi .

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Kuna msemo maarufu sana, kutoka kwa waliotutangulia usemao "Tembea/Kua uyaone"
Machache niliyopata kuyaona na yakiniacha, aidha na majibu kibwena (mengi) kuliko swali husika, ni labda nitoe matukio mawili.

Mf. Majuzi nimepishana na Mkaka mmoja , simfahamu nae hanifahamu.
Mkaka huyu alikua akijaribu kuutoa Ulimi wake nje ya mdomo , huku akijaribu kuuangalia mwenyewe kwa macho yake!
Kwa namna macho yake yalivyokua yakionekana kiasi ilinitisha.
Nikalazimika nimuulize "bro una tatizo gani ? "
Akanijibu
"Eebwana nna kiupele sijui kidonda kwenye huu Ulimi , ndo nataka nipaone"
Nikamwambia
"Sasa Mkuu si utafute kioo? Itawezekana kweli uuone ulimi wako kwa style hiyo? "

Kisa mkasa cha huyu Mkaka ni kwamba hivi Jibaba la takriban 45 still yet halijajua kuona ulimi kwa style ile ni quite impossible?
Mijitu mingine bwanaa !

Mf. Wa pili kuna siku nilikua kwenye sherehe ya harusi , wakati holini pamechanganya mirindimo ya muziki na mikelele ya walevi, nikamuona M'baba akikojoa kwenye chupa ya bia ! Kisa mkasa cha huyu kilichoniachia quiz alikua akijaribu dushe lake eti lipenye kwenye mdomo wa chupa because alikua kila aki'dischurge urine unaenda pembeni ya chupa! View iliyokua ikijionesha pale ni kama mtu achukue Tango na kujaribu kuliingiza kwenye chupa ya Soda !
Mijitu mingine bwanaa!

Mdau unaesoma hapa kivyovyote nawe hukosi visa vya ajabu ajabu realeted matter! Hebu nishushie mie nii'enjoy !
 
Hahaha hii mikasa noma

Kuna msemo maarufu sana, kutoka kwa waliotutangulia usemao "Tembea/Kua uyaone"
Machache niliyopata kuyaona na yakiniacha, aidha na majibu kibwena (mengi) kuliko swali husika, ni labda nitoe matukio mawili.

Mf. Majuzi nimepishana na Mkaka mmoja , simfahamu nae hanifahamu.
Mkaka huyu alikua akijaribu kuutoa Ulimi wake nje ya mdomo , huku akijaribu kuuangalia mwenyewe kwa macho yake!
Kwa namna macho yake yalivyokua yakionekana kiasi ilinitisha.
Nikalazimika nimuulize "bro una tatizo gani ? "
Akanijibu
"Eebwana nna kiupele sijui kidonda kwenye huu Ulimi , ndo nataka nipaone"
Nikamwambia
"Sasa Mkuu si utafute kioo? Itawezekana kweli uuone ulimi wako kwa style hiyo? "

Kisa mkasa cha huyu Mkaka ni kwamba hivi Jibaba la takriban 45 still yet halijajua kuona ulimi kwa style ile ni quite impossible?
Mijitu mingine bwanaa !

Mf. Wa pili kuna siku nilikua kwenye sherehe ya harusi , wakati holini pamechanganya mirindimo ya muziki na mikelele ya walevi, nikamuona M'baba akikojoa kwenye chupa ya bia ! Kisa mkasa cha huyu kilichoniachia quiz alikua akijaribu dushe lake eti lipenye kwenye mdomo wa chupa because alikua kila aki'dischurge urine unaenda pembeni ya chupa! View iliyokua ikijionesha pale ni kama mtu achukue Tango na kujaribu kuliingiza kwenye chupa ya Soda !
Mijitu mingine bwanaa!

Mdau unaesoma hapa kivyovyote nawe hukosi visa vya ajabu ajabu realeted matter! Hebu nishushie mie nii'enjoy !
 
Usiku tukiwa bwenini tume lala, mida ya saa 8 usiku tulistushwa na kishindo mithili ya tetemeko ya ardhi ndani ya bweni baada ya kuamka tukiwa tumejawa na hofu kubwa huku umeme umekatika, baada ya kuamka uku wengine wakiwa wamesha kimbia nje wakiwa na boxer tu,tuligundua kuna mtu kaanguka kutoka juu ya deka(alikuwa best yangu) ilibidi kuanza kumuangali huku roho zikienda mbio kwa uwoga wa hali ya juu.

Baada ya kumuangalia na kuanza kumgusa tu alichomoka pale chini misili ya mshale na kukimbia nje, kazi ilikuwa kwetu tuliyo baki ndani watu kama 60 kwa hiyo tulianza kugombea mlango ambao ulikuwa mmoja huku tukikanyagana kutoka nje, cha kushangaza na pale nje wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja ikawa kurupusha huku tukiwa na boxer wote tulizani kuna mzimu.


Cha kushangaza baada ya kumhoji best huku wengine wakiwa wamevunjika mikono alisema ana tushangaa tunakimbia nini wakati yeye alikuwa ana tania!


Wote tuliishiwa nguvu na wengine wakitaka kumpiga kwa kuwa dharirisha na shule ilikuwa mchanganyiko wanaume tuko na boxer tu!


Cha kusikitisha baada ya kutaka kufukuzwa shule jamaa yangu aligundulika amechanganyikiwa na akafikia kufungwa kamba kwa hiyo hakufanya mtihani akapelekwa hospitali.
 
Usiku tukiwa bwenini tume lala, mida ya saa 8 usiku tulistushwa na kishindo mithili ya tetemeko ya ardhi ndani ya bweni baada ya kuamka tukiwa tumejawa na hofu kubwa huku umeme umekatika, baada ya kuamka uku wengine wakiwa wamesha kimbia nje wakiwa na boxer tu,tuligundua kuna mtu kaanguka kutoka juu ya deka(alikuwa best yangu) ilibidi kuanza kumuangali huku roho zikienda mbio kwa uwoga wa hali ya juu.

Baada ya kumuangalia na kuanza kumgusa tu alichomoka pale chini misili ya mshale na kukimbia nje, kazi ilikuwa kwetu tuliyo baki ndani watu kama 60 kwa hiyo tulianza kugombea mlango ambao ulikuwa mmoja huku tukikanyagana kutoka nje, cha kushangaza na pale nje wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja ikawa kurupusha huku tukiwa na boxer wote tulizani kuna mzimu.


Cha kushangaza baada ya kumhoji best huku wengine wakiwa wamevunjika mikono alisema ana tushangaa tunakimbia nini wakati yeye alikuwa ana tania!


Wote tuliishiwa nguvu na wengine wakitaka kumpiga kwa kuwa dharirisha na shule ilikuwa mchanganyiko wanaume tuko na boxer tu!


Cha kusikitisha baada ya kutaka kufukuzwa shule jamaa yangu aligundulika amechanganyikiwa na akafikia kufungwa kamba kwa hiyo hakufanya mtihani akapelekwa hospitali.

Kisa mkasa, ya tukio hili mtu mmoja anaweza kufanya watu 100 mkaonekana machizi .
 
We acha tu, hili tukio sito lisahau maana kwa kweli watu walitoka kwenye mabweni kutushuhudia na hakukuwa na pakujificha, wengine wanacheka wengine wanatuonea huruma!
Kisa mkasa, ya tukio hili mtu mmoja anaweza kufanya watu 100 mkaonekana machizi .
 
One day niko nimesimama kwenye mtaa wa maduka mengi.
Hapo palikua na duka lenye vioo vya tinted , huoni vitu vya ndani, bali unajiona wewe utazamae.
Mara kikapita kijibinti around 12-13 yrs hivi .
Kikasimama kikafungua khanga yake aliyokua amejifunga kiunoni, kisha kikaifunga tena na alipokwishaifunga akavipiva vile vioo mgongo na kugeuza shingo kujiangalia makalio!
Alipojiridhisha akasepa zake!
21 century !
 
Hahaha
wadada wanafanya sana!
One day niko nimesimama kwenye mtata wa maduka mengi.
Hapo palikua na duka lenye vioo vya tinted , huoni vitu vya ndani, bali unajiona wewe utazamae.
Mara kikapita kijibinti around 12-13 yrs hivi .
Kikasimama kikafungua khanga yake aliyokua amejifunga kiunoni, kisha kikaifunga tena na alipokwishaifunga akavipiva vile vioo mgongo na kugeuza shingo kujiangalia makalio!
Alipojiridhisha akasepa zake!
21 century !
 
Mijitu mingine bwana, inaanzisha maadamano, wengine wanapigwa risasi wanakufa, yenyewe bado yanabaki hai tu! Mi nna ham na hao waanzisha maandamano nao wafumuliwe na risasi!!
 
Mijitu mingine bwana, inaanzisha maadamano, wengine wanapigwa risasi wanakufa, yenyewe bado yanabaki hai tu! Mi nna ham na hao waanzisha maandamano nao wafumuliwe na risasi!!

Duuhh !
Si ungeanzia kwenye maji ya kuwasha kwanza! Kabla hujafika kwenye fire weapons !
 
Usiku tukiwa bwenini tume lala, mida ya saa 8 usiku tulistushwa na kishindo mithili ya tetemeko ya ardhi ndani ya bweni baada ya kuamka tukiwa tumejawa na hofu kubwa huku umeme umekatika, baada ya kuamka uku wengine wakiwa wamesha kimbia nje wakiwa na boxer tu,tuligundua kuna mtu kaanguka kutoka juu ya deka(alikuwa best yangu) ilibidi kuanza kumuangali huku roho zikienda mbio kwa uwoga wa hali ya juu.

Baada ya kumuangalia na kuanza kumgusa tu alichomoka pale chini misili ya mshale na kukimbia nje, kazi ilikuwa kwetu tuliyo baki ndani watu kama 60 kwa hiyo tulianza kugombea mlango ambao ulikuwa mmoja huku tukikanyagana kutoka nje, cha kushangaza na pale nje wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja ikawa kurupusha huku tukiwa na boxer wote tulizani kuna mzimu.


Cha kushangaza baada ya kumhoji best huku wengine wakiwa wamevunjika mikono alisema ana tushangaa tunakimbia nini wakati yeye alikuwa ana tania!


Wote tuliishiwa nguvu na wengine wakitaka kumpiga kwa kuwa dharirisha na shule ilikuwa mchanganyiko wanaume tuko na boxer tu!


Cha kusikitisha baada ya kutaka kufukuzwa shule jamaa yangu aligundulika amechanganyikiwa na akafikia kufungwa kamba kwa hiyo hakufanya mtihani akapelekwa hospitali.

hii ndo kiboko ya zote nimejikuta nacheka mpaka machozi yametoka
 
We si ushaaga wenda kulala ? Nini tena !
Mmbu ?
Au wa sensa wamewagongea mlango ?

teh teh teh teh,
Acha tu ndg Jdgmnt,
Me mwenzio nakaa karibu na Bar basi ni hakuna kulala mwanzo mwenga,
hyn mikelele,Balaaa!!
 
Ha,ha,ha,ha,ha,ha..teh,teh,te,te,te,kwi,kwi,kwi,kwi,kwi,..uwii baba Beibe nastry leo umenimaliza mbavu jamani dah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom