Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Kuna msemo maarufu sana, kutoka kwa waliotutangulia usemao "Tembea/Kua uyaone"
Machache niliyopata kuyaona na yakiniacha, aidha na majibu kibwena (mengi) kuliko swali husika, ni labda nitoe matukio mawili.
Mf. Majuzi nimepishana na Mkaka mmoja , simfahamu nae hanifahamu.
Mkaka huyu alikua akijaribu kuutoa Ulimi wake nje ya mdomo , huku akijaribu kuuangalia mwenyewe kwa macho yake!
Kwa namna macho yake yalivyokua yakionekana kiasi ilinitisha.
Nikalazimika nimuulize "bro una tatizo gani ? "
Akanijibu
"Eebwana nna kiupele sijui kidonda kwenye huu Ulimi , ndo nataka nipaone"
Nikamwambia
"Sasa Mkuu si utafute kioo? Itawezekana kweli uuone ulimi wako kwa style hiyo? "
Kisa mkasa cha huyu Mkaka ni kwamba hivi Jibaba la takriban 45 still yet halijajua kuona ulimi kwa style ile ni quite impossible?
Mijitu mingine bwanaa !
Mf. Wa pili kuna siku nilikua kwenye sherehe ya harusi , wakati holini pamechanganya mirindimo ya muziki na mikelele ya walevi, nikamuona M'baba akikojoa kwenye chupa ya bia ! Kisa mkasa cha huyu kilichoniachia quiz alikua akijaribu dushe lake eti lipenye kwenye mdomo wa chupa because alikua kila aki'dischurge urine unaenda pembeni ya chupa! View iliyokua ikijionesha pale ni kama mtu achukue Tango na kujaribu kuliingiza kwenye chupa ya Soda !
Mijitu mingine bwanaa!
Mdau unaesoma hapa kivyovyote nawe hukosi visa vya ajabu ajabu realeted matter! Hebu nishushie mie nii'enjoy !
Machache niliyopata kuyaona na yakiniacha, aidha na majibu kibwena (mengi) kuliko swali husika, ni labda nitoe matukio mawili.
Mf. Majuzi nimepishana na Mkaka mmoja , simfahamu nae hanifahamu.
Mkaka huyu alikua akijaribu kuutoa Ulimi wake nje ya mdomo , huku akijaribu kuuangalia mwenyewe kwa macho yake!
Kwa namna macho yake yalivyokua yakionekana kiasi ilinitisha.
Nikalazimika nimuulize "bro una tatizo gani ? "
Akanijibu
"Eebwana nna kiupele sijui kidonda kwenye huu Ulimi , ndo nataka nipaone"
Nikamwambia
"Sasa Mkuu si utafute kioo? Itawezekana kweli uuone ulimi wako kwa style hiyo? "
Kisa mkasa cha huyu Mkaka ni kwamba hivi Jibaba la takriban 45 still yet halijajua kuona ulimi kwa style ile ni quite impossible?
Mijitu mingine bwanaa !
Mf. Wa pili kuna siku nilikua kwenye sherehe ya harusi , wakati holini pamechanganya mirindimo ya muziki na mikelele ya walevi, nikamuona M'baba akikojoa kwenye chupa ya bia ! Kisa mkasa cha huyu kilichoniachia quiz alikua akijaribu dushe lake eti lipenye kwenye mdomo wa chupa because alikua kila aki'dischurge urine unaenda pembeni ya chupa! View iliyokua ikijionesha pale ni kama mtu achukue Tango na kujaribu kuliingiza kwenye chupa ya Soda !
Mijitu mingine bwanaa!
Mdau unaesoma hapa kivyovyote nawe hukosi visa vya ajabu ajabu realeted matter! Hebu nishushie mie nii'enjoy !