Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
hongera sana mwana wa mungu, kwani wewe ni mtimilifu, hujawahi kuzini au kufanya tendo kabla ya ndoa na pia umepata mke [kama umeoa] ambaye si malaya na ulimkuta bikira na mpaka sasa hajawahi kwenda nje ya mlango... HAKIKA WEWE NI MWANA WA MUNGU!!!
NASHANGAA TU, MWANA WA MUNGU ANAHANGAIKA NINI NA MITANDAO BADALA YA KUSHUKURU NA KUPONYA
kuna point yoyote umeongea hapo juu ya huyo jamaa? au una bifu na huyo mwana wa mungu. mimi pia naona amekoma, siku ingine asirudie. kwa kifupi, humu ndani kuna wanaume wengi ambao wameoa wanawake wao mabikira, na hawajawai toka nje ya ndoa. wao wanaume pia wako wengi tu waliooa wakati bado bikira. hii ni ajabu kwako? we umepitiwa au umepitia wangapi, kwasababu jamaa alivyoongea hapo naona imekutachi ile mbaya.