Mamsap ananitia mashaka.

hongera sana mwana wa mungu, kwani wewe ni mtimilifu, hujawahi kuzini au kufanya tendo kabla ya ndoa na pia umepata mke [kama umeoa] ambaye si malaya na ulimkuta bikira na mpaka sasa hajawahi kwenda nje ya mlango... HAKIKA WEWE NI MWANA WA MUNGU!!!

NASHANGAA TU, MWANA WA MUNGU ANAHANGAIKA NINI NA MITANDAO BADALA YA KUSHUKURU NA KUPONYA

kuna point yoyote umeongea hapo juu ya huyo jamaa? au una bifu na huyo mwana wa mungu. mimi pia naona amekoma, siku ingine asirudie. kwa kifupi, humu ndani kuna wanaume wengi ambao wameoa wanawake wao mabikira, na hawajawai toka nje ya ndoa. wao wanaume pia wako wengi tu waliooa wakati bado bikira. hii ni ajabu kwako? we umepitiwa au umepitia wangapi, kwasababu jamaa alivyoongea hapo naona imekutachi ile mbaya.
 
Sasa inakuwaje mtu anakuwa na mtu mwenye HASIRA ivo
hivi hajakupiga mangumi tu so far sema hujatuambia mkuu?
 
Yaani hapo nataka ni kuambie mmekutana na kama ulivyotushirikisha ni kweli mnafanana kwa kila kitu na hata hako katabia kenu ka KUFYEKETUANA! kwi kwi kwi; lol I love Jamii forums kwa misamiati!:smile-big: well nikirudi kwenye topic hako katabia kanathibitisha mnavyoshabihiana! Huyo anakufaa sana elewana nae na umridhishe kuwa wewew ni wake pekee! Ataakuwa mke mwema sana kwako! Suala la umri si muhimu sana chief! Kwani huwa huna uhisi uzee wakati unamfyeketua? teh teh teh teh

Kaazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom