Mamlaka ya maji Mwanza mnatuumiza wanyonge

Mamlaka ya maji Mwanza mnatuumiza wanyonge

Buhamila

Senior Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
160
Reaction score
82
KWa wakazi wa mwanza mnaweza kuwa mashahidi bill ya maji ya July 2019 imeongezeka mara dufu. Nimeenda kuulizia kituo cha buzuruga nimeambiwa bei per m3 imeongezeka kutoka 700 hadi 1225! Karibu mara 2 ya bei ya zamani
Kuweni na huruma jamani mkumbuke mshahara haujaongezeka hata cent 5
IMG-20190802-WA0024.jpeg
 
Kiongozi, huu uzi wako watu waliudharau, ila sasa cha moto tunakiona.

Aisee wameongeza bei kwa 100% sembuse kidogo. Hili ni balaa jipya la MWAUWASA.
 
Halafu waliongeza bila kutoa taarifa sijui tatizo nini, huduma muhimu kama ya maji kupandisha bei ghafla hivi mpaka sasa sijajua lengo lao nini, au ni gharama za uzalishaji zimeongezeka? Au ndio wanapima upepo? Kwa kweli wametuumiza sana sisi wananchi hasa sisi wa hali ya chini. Ziwa victoria lipo hapahapa halifu tuuziwe maji kama tupo jangwani, wasije wakasababisha mlipuko wa magonjwa sababu maji na usafi ni vitu vinavyoendana.
 
Back
Top Bottom