Mamlaka ya hali ya hewa leo imetahadharisha...!

Mamlaka ya hali ya hewa leo imetahadharisha...!

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
TISHIO LA MAAFA: Mamlaka ya hali ya hewa leo imetahadharisha uwezekano wa kutokea upepo mkali, mawimbi makubwa maeneo yote ya ukanda wa pwani Januari 3-5, 2014.
 
haya tunasubiri kwa hamu. asante mamlaka kwa taarifa.
 
na leo nimeogelea sana kwani ndio starehe yangu hakuna lolote kyalosangi
 
Hivi leo mchana wakati meli ya Kilimanjaro ilipokuwa inatokea Pemba, ilipopita kwenye mkondo wa Nungwi basi wimbi moja kubwa lilipiga na maji yaliingia mpaka kwenye boti na kusomba watu kama kumi hivi.

Kutokana na upepo mkali meli haikuweza kusimama na badala yake iliwarushia life jackets, kwani ingesimama basi hatari ingekuwa kubwa zaidi.

Baadhi ya watu wamepoteza maisha.

nimepata habari hii kutoka Pemba na vile vile nilisikia mmoja wa abiria aliyenusurika akihojiwa kwenye clouds
 
Ila kweli tujipange yanaweza kutimia alafu tukalalamika walituambia lakini!
 
Back
Top Bottom