Mamlaka husika mnamuogopa Bakhressa?

Mamlaka husika mnamuogopa Bakhressa?

Me nazani hayo malori ya azam wala yasilaumiwe kwasababu yamefuata wanachofanya wenzio, hiyo bara bara ya mandela ukitokea ubungo kuanzia pale mwananchi yale magari makubwa ya makontena huwa yanapaki barabarani kila siku tunatumia single road na wakat mwingine husababisha foleni kubwa lakini serikali iko kimya tu

mrsleo,usisumbuke na hii nchi,ujue suala bakharesa ni dogo sana maana ni kero ya muda, ila kunakero kwa wakazi kama wa gar ni aibu kubwa,mfano UDA ndo pekee wanaruhusiwa kuingia mjin kwa maana ya posta.ukitazama hakuna mantiki kabisaa,ile root ya kutoka airport ni mgogoro mkubwa, watu wameongeza matumizi yasiyo ya lazima.

ila kunasiku wananchi watafikia mwisho ukimya, huu unyanyasaji utakwisha.
 
Sio Bakheresa tu Malori kibao yanapanga foleni nenda AMI pale relini, Bandarini karibia na UDA nafkiri gate no3 kote huko ni Malori.
Na tatizo sio Malori ni Miundo mbinu ndio tatizo, by the way yasipange foleni yaPark wapi na watu wanaendesha uchumi wa nchi kupitia hizo Trucks?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Hio ndio mnaona kero? nNgojea aamue kutolipa kodi mwaka mmoja tu ndio mtajua kero ni nn?

Chunguza vizuri usije ukashangaa PAYE unayokatwa kila mwezi (kama wewe ni mfanyakazi) ni kubwa kuliko kodi anayolipa yeye. Na hii misamahaya kodi ya kipuuzi chochote kinawezekana.
 
Sio hapo tu pia kuna roundabout ya sabasaba ukitokea uhasibi.

Malori yanayoingia kwa wasomali hupaki barabarani kusubiri kupinda.

Utawala wa sheria kuna baadhi ya watu hauwahusu
 
Kila mtu yuko chini ya sheria mkuu???

Rafiki unaamini hilo kweli? Uko nchi gani na una miaka mingapi? Unaamaini kweli kila mtu yuko chini ya sheria? Labda za Mungu aisee.
Unafikiri mtoto wa Bakhresa akipiga mtu risasi afe na kalakabaho nimpige mtu risasi wote tutakua treated sawa!? Hata Marekani sio hivyo kijana.
Dunia hii the rich are not under the same laws, hio ni fallacy!
 
Rafiki unaamini hilo kweli? Uko nchi gani na una miaka mingapi? Unaamaini kweli kila mtu yuko chini ya sheria? Labda za Mungu aisee.
Unafikiri mtoto wa Bakhresa akipiga mtu risasi afe na kalakabaho nimpige mtu risasi wote tutakua treated sawa!? Hata Marekani sio hivyo kijana.
Dunia hii the rich are not under the same laws, hio ni fallacy!

Tatizo sio sheria ni enforcers...na hao wana dance the tune ya serikali hasa Raisi...

Nilishuhudia kipindi cha chiluba watu walivyo kuwa... lakini alipoingia mwanawasa watu wote walibadilika utadhani sio nchi ileile...

Huo ni mfano tu
 
kweli kabisa mkuu, juzi jamaa yangu aliharibikiwa na suzuki carry akaweka triangle reflector akawasha harzad lakini kirikuu yake waliibeba na break down na faini laki tatu kalipa, kwa nini magari makubwa ya Azzam hayaguswi? tena na kibanda cha traffic kipo hapo hapo jirani na wanaona kila kitu.

Labda hawana break down kubwa za kuyabebea hayo ma ya truck ya azam
 
Back
Top Bottom