Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
Hapa Tazara junction ya Nyerere Road na Mandela Road kuna foleni si ya kawaida kisa matruck ya kampuni ya Azam yamepaki barabari kusubili kuingia kwenye compound yao na madreva wamezima kabisa gari zao na ziko nying tu, kwa sasa inabidi barabara itumike single lane badara ya two ways.
Sasa swali langu ni kwa nini watu wengine wakipaki gari zao wrng parking wale wakala wenye jukumu hilo huzipiga faini ya shilling laki 3 au kuzipeleka kwenye yard yao relini mwananchi lakin hawa Azzam hawaguswi? kitu gani kinaendelea hapa?
Sasa swali langu ni kwa nini watu wengine wakipaki gari zao wrng parking wale wakala wenye jukumu hilo huzipiga faini ya shilling laki 3 au kuzipeleka kwenye yard yao relini mwananchi lakin hawa Azzam hawaguswi? kitu gani kinaendelea hapa?