M mamitber Member Joined Jul 4, 2016 Posts 28 Reaction score 4 Sep 12, 2016 #1 Walimu JIJI Mwanza walazimishwa kukusanya vyeti vyao vya masomo original na kubaki na photocopy KWA ajili ya wafanya kazi hewa
Walimu JIJI Mwanza walazimishwa kukusanya vyeti vyao vya masomo original na kubaki na photocopy KWA ajili ya wafanya kazi hewa
florencentarajoel Member Joined Sep 10, 2016 Posts 78 Reaction score 42 Sep 12, 2016 #2 Sema watumishi wote wa mwanza jiji na sio walimu pekeyao
pleo JF-Expert Member Joined Jun 20, 2013 Posts 3,558 Reaction score 2,932 Sep 12, 2016 #3 mamitber said: Walimu JIJI Mwanza walazimishwa kukusanya vyeti vyao vya masomo original na kubaki na photocopy KWA ajili ya wafanya kazi hewa Click to expand... wamasema mliomaliza la saba wengi wenu hamuwezi kusoma kitabu cha darasa la pili!
mamitber said: Walimu JIJI Mwanza walazimishwa kukusanya vyeti vyao vya masomo original na kubaki na photocopy KWA ajili ya wafanya kazi hewa Click to expand... wamasema mliomaliza la saba wengi wenu hamuwezi kusoma kitabu cha darasa la pili!