MC Chere
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 586
- 400
Bado siamini kama hili jambo linaweza kutendeka lakini ndivyo ilivyo.
Ikumbukwe kuwa,wakati wa kampeni aliahidi kutoa mil50 kwa kila kijiji,niliposikia ahadi hiyo inataraji kutekelezwa hivi karibuni nikapongeza sana ahadi hiyo kutimizwa.
Aidha,wanatakiwa wanawake waunde vikundi kisha waandike katiba na taratibu nyinginezo ili kukidhi vigezo vya kukopeshwa,hilo mimi halikunishangaza.
Niliduwaa pale nilipoambiwa kuwa,ili upewe mkopo ni lazima uwe mwanachama wa CCM na hivyo tayarh utakuwa mwanachama wa UWT ili upewe kadi maalumu,hivyo kwa mwanachama wa chama kingine itabidi airudishe kadi giyo kwenye hicho chama na ajiunge na CCM kinyume na hapo hakuna mkopo.
Watu wakahoji,hizo pesa ni za Serikali/CCM? Majibu yaliyotolewa ni juwa Magufuki ni wa chama gani?
Labda RAIS wangu wamajipu niambie hizo pesa ni za chama na si za serikali hapo mtakuwa sawa,lakini ikiwa ni za Serikali je hayo masharti umeagiza mwenyewe?
LOCATION.Kilolo-Iringa
Ikumbukwe kuwa,wakati wa kampeni aliahidi kutoa mil50 kwa kila kijiji,niliposikia ahadi hiyo inataraji kutekelezwa hivi karibuni nikapongeza sana ahadi hiyo kutimizwa.
Aidha,wanatakiwa wanawake waunde vikundi kisha waandike katiba na taratibu nyinginezo ili kukidhi vigezo vya kukopeshwa,hilo mimi halikunishangaza.
Niliduwaa pale nilipoambiwa kuwa,ili upewe mkopo ni lazima uwe mwanachama wa CCM na hivyo tayarh utakuwa mwanachama wa UWT ili upewe kadi maalumu,hivyo kwa mwanachama wa chama kingine itabidi airudishe kadi giyo kwenye hicho chama na ajiunge na CCM kinyume na hapo hakuna mkopo.
Watu wakahoji,hizo pesa ni za Serikali/CCM? Majibu yaliyotolewa ni juwa Magufuki ni wa chama gani?
Labda RAIS wangu wamajipu niambie hizo pesa ni za chama na si za serikali hapo mtakuwa sawa,lakini ikiwa ni za Serikali je hayo masharti umeagiza mwenyewe?
LOCATION.Kilolo-Iringa