Leo kigoma wanachama wa vyama vya upinzani zaidi ya 800 warudisha kadi Kwa Magufuli za vyama vyao lakini kubwa zaidi ni pale ambapo wamekabizi hadi magwanda "Nguo za vyama vyao" Kwa Magufuli japo sale hizo walinunua wao na Kwa Fedha zao,. Sasa sijui tuseme je! Magufuli ataenda kuyatia moto hayo magwanda au atayafanyaje?.
Hivi unafurahi kabisa! Amakweli we ndo mmoja wa faida ya ccm ya sera yao ya kuendekeza ujinga na umasikini, ili waendelee kuwatawala. Nakuhurumia my friend.
Leo kigoma wanachama wa vyama vya upinzani zaidi ya 800 warudisha kadi Kwa Magufuli za vyama vyao lakini kubwa zaidi ni pale ambapo wamekabizi hadi magwanda "Nguo za vyama vyao" Kwa Magufuli japo sale hizo walinunua wao na Kwa Fedha zao,. Sasa sijui tuseme je! Magufuli ataenda kuyatia moto hayo magwanda au atayafanyaje?.
ni kweli wamerudisha kadi zilizo chakaa na magwanda yalopauka kwa wana ccm maana waantaka kukopi na aina ya nguo km walivokopi logo.
afu wanapewa kadi mpya za cdm na magwanda mapya toka israeli