Mameneja wa hoteli wanahitajika

Mameneja wa hoteli wanahitajika

Ogopa Matapeli.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums wireless internet
 
jamaniii hiyo ofc za lenjentz zipo tangi bovu mbezii beach sio matapel ni recruitment agent
 
Jaman sio matapeli hao watu ni ofisi inaexist kabisa.
 
Wadau naombeni msaada notice za hotel management !nataka nijisomee mwenyewe maana degree inazingua hamna mchongo bora nijisomee mwenyewe hotel pengine itasaidia!!
 
Matapeli....
ina maana vigezo vipi haswa mnavyotaka nyie ndio mumchkue mtu???
smh...
 
Wadau

Bado tunahtaji mameneja wa Hotel na hii ni haraka sana,kama una uzoefu wa kufanya kazi za kiutawala (Managerial Positons) hatakama sio Hotel,tuma cv yako tutazingatia

tuma cv kwenda recruitment@lenjen.co.tz au info@lenjen.co.tz
Mkuu, bandiko lako linakosa details muhimu kuwasaidia potential candidates kufanya maamuzi ya awali. Kama unataka watu serious weka details vizuri kuhusiana na kazi husika (kazi gani hasa - uhasibu, HR etc? nafasi gani? mahali gani? sifa gani? nk). Weka tangazo la kazi lililokamilika au la weka link ili wahitaji wafuatilie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom