Aisee
Wamekwambia wapi Mbumbumbu?Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
We boya ungelea liteam lenu bovu utopoloWakae kwa kutulia. Mpira unadunda.
Ingekuwa Simba kweli wangepata mseleleko,
Kwa Yanga ni wazi na wanajua shughuli waliyonayo sio ya kitoto.
Wanakusanya points?Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
Mpira hauchezwi mdomoni unachezwa uwanjani na unatumia dk 90Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
Hivi kuna kipigo kikubwa zaidi ya kile mlichopigwa November 5 last year?Walikua Space kule X, kama ni mwana utopolo Jiandae kwa kipigo kizito
Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC