Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)
Miaka 25 ondoka kwa babako katafute wa kwako. Ukiamua kutembea na mke wa baba yako ujue maisha yamekushinda. There is no hope for you.
Ningeshangaaa mzabzab a.k.a gegedu, kila kijacho kwako we ni kugegeda tu, maswali baadae....
Miaka 25 ondoka kwa babako katafute wa kwako. Ukiamua kutembea na mke wa baba yako ujue maisha yamekushinda. There is no hope for you.
Umesema kamtimua mama nyumbani, which means baba kaleta hawara ndani.
Sasa baba wa namna hii anapaswa naye afunzwe, huyo kuku wake wa kienyeji anatafunwa hata mifupa haiachwi.
Baba wa namna hii anaweka mfano gani kwa watoto kama sio kuwaeleza kwa vitendo kuwa nao wawe malaya.
thread closed
Wana jf chukulieni mfano kuwa; Baba kamtimua mama nyumbani then akaleta kakimwana kengine ndani, nawe ni mtoto wa kiume(25...yrs)hako ka mamdogo baba akiwa hayupo kanakutega uingie angazake umri mnaendana hamjaachana sana..UKITENGWA UTATEGEKA?(hata akina dada ambao mama zao ni masugar momy inawahusu hii...kababa mdogo kanakuvizia,je utaruka?)
kwanza huyo mdingi kayataka...mie namgegeda tuu huyo mama mdogo kwa raha zanguv