Ndo maana wazungu wanatuona mabulicheka miaka yote. Huyu Mamdani ukisoma kile kitabu chake cha when victims become killers..ndo utaona anaongelea kwenye mantiki ipi. Hiki kitabu ni mwendelezo ule ule... Hivi hiyo truth na reconcilliation..waafrika tumeianza lini? miaka yote..it has been "truth and reconcilliation" lakini kama alivyosema muungwana hapo juu..ni kwa ajili ya wakubwa wanaotoa amri wananchi wauawe..harafu wanadai "foget and forgive" then wanarudi madarakani... And the cycle continues. Meanwhile mwananchi wa kawaida anaendelea kuishi kwa unga wa sembe kwenye kambi za wakimbizi! We have to reach a point tuone kwamba maisha ya mwafrika yana thamani. Hapa hakuna mchawi, mchawi ni sisi wenyewe. Viongozi wa Africa wanaiogopa ICC kwa sababu kule hakuna rushwa walizozizoea. Ocampo akitoa indictment...hakuna wa kui-withdraw. TATIZO LETU WAAFRIKA TUNAPENDA NA TUMEZOEA SHORT CUT YA MAMBO.
Mimi nasema tena, waafrika tukitaka kuishi na kuwa rightful members wa hii dunia tunahitaji kupingana na hawa wazungu kwa hoja. Siyo hizi longo longo za madikteta wanakutana Libya..wanaanza bla blah za kulindana. Tukubali Africa is our motherland and our responsibility but not at the expense of our compatriots. Haiwezekani wewe uue wananchi wako..harafu kesho useme eti ni conspiracy za wazungu...
I am one of those dissappointed with the so called wasomi wa Africa. They cant stand up and say the truth-atleast write the truth... Swala la Darfur tumeshaligeuza limekuwa ni wa of words against save Darfur, Amnesty International etc..yaani sisi hatuoni role yetu kama waafrika. Tulirogwa na nani??