nyambari JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 355 Reaction score 174 Jul 8, 2011 #1 Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU
Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU
golwebo_mkuu JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 2,270 Reaction score 694 Jul 8, 2011 #2 hamna kitu hapo, full lehemu tu.
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Joined Dec 8, 2010 Posts 7,521 Reaction score 6,517 Jul 8, 2011 #3 Tungeenda kutibu kisukari, BP nk
S Sharo hiphop JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 660 Reaction score 104 Jul 9, 2011 #4 una maanisha Watanzania hatuwezi kupika hvi?
Omukuru JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 242 Reaction score 41 Jul 9, 2011 #5 nyambari said: Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU Click to expand... Kwani kwa babu tunaenda kupata msosi?
nyambari said: Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU Click to expand... Kwani kwa babu tunaenda kupata msosi?
Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,621 Reaction score 4,311 Jul 9, 2011 #6 Mkuu Nyambari udenda umenitoka mpaka nimeikuza hii picha!
NGOSWE.120 JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 219 Reaction score 234 Jul 9, 2011 #7 mbona wengi wanakamua menu kama hiyo lkn wamefika huko kwa babu mkuu, kule watu ngwengwe ndo inawapeleka mkuu
mbona wengi wanakamua menu kama hiyo lkn wamefika huko kwa babu mkuu, kule watu ngwengwe ndo inawapeleka mkuu
N Nzowa Godat JF-Expert Member Joined Jun 15, 2011 Posts 2,785 Reaction score 824 Jul 9, 2011 #8 nyambari said: View attachment 33549Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU Click to expand... Kwa babu watu wanaenda kujichora tu, hakuna hata mgonjwa mmoja aliwahi kuponea kule. Labda kama alienda kwa kuigiza tu ! Jaribuni kuwa wafuatiliaji wa mambo.
nyambari said: View attachment 33549Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU Click to expand... Kwa babu watu wanaenda kujichora tu, hakuna hata mgonjwa mmoja aliwahi kuponea kule. Labda kama alienda kwa kuigiza tu ! Jaribuni kuwa wafuatiliaji wa mambo.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Jul 9, 2011 #9 Inawezekana siku kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtz ikitimia,,,,,,,,,😛ound:
M Mrdash1 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,375 Reaction score 339 Jul 9, 2011 #10 hamna kitu ni pilipili tu