safi sana hiyo kazi za chadema zinazofanyika Kigoma kaskazini,...Na kigoma nzima ambako nadhani wanaongoza halmashauri kwa kupkezana..,TARIME...ambako wana halmashauri...na kule KARATU ambako pia wanaongoza halmashauri ...wameonesha mfano......na wamekuwa chuo cha mafunzo kwa ccm.....tunaweza kuwaamini zaidi ndugu watanzania!