Mambo ya Pemba

Erickb52

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
18,559
Reaction score
11,496

Hayo ndo baadhi ya picha nilizofanikiwa kuchukua pemba mwezi huu wa kumi.
 
hyo picha ya 3 kwao ni kitu ch kawaida sn kwa hzo gari zinazoenda shamba...afu jamaa barabarani wanaendesha gari kwa fujo sn. Niliwahi kupanda hzo gari ninaenda gambe kinazini aise nilitamani kushuka.
 
Wale jamaa mdebwedo bado wana chai maharage bana!
 
na ukiingia ndani ya gari unasalimia abiri wote uliowakuta. safi sana
 
Hiyo ya tatu ni alama ya serikali ya umoja wa kitaifa!
 
Subiri uchaguzi mdogo ndipo utakapojua kuwa tz tuna mijihela sisi!............lakini baada ya uchaguzii hali ndo km uonavyo................wkt wa kampeni wapemba wanashangilia pilau km kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…