utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Baada ya ugomvi wa siku nzima, mume na mke hawaongeleshani. Mume alikua anasafiri kesho yake mapema sana, kwa kuwa bado alikua na hasira, alishindwa kumwambia mke wake amwamshe hivyo aliamua kuchukua karatasi na kumwekea mke wake kitandani iliyoandikwa "niamshe saa kumi nasafiri na basi ya kwanza".
Kweli mke aliamka muda huo na kuona ule ujumbe, alichofanya alichukua pen akaandika chini yake:
"amka, saa kumi tayari"
Kweli mke aliamka muda huo na kuona ule ujumbe, alichofanya alichukua pen akaandika chini yake:
"amka, saa kumi tayari"