Mambo ya Msingi kiongozi mkuu wa taifa anapaswa kuwa nayo

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,766
12,689
Jamani kama raia mwema nimewiwa kuandika haya maana naipenda nchi yangu na viongoz wangu.

Jambo la kwanza kiongozi wa taifa anapaswa kuwa nalo. Niuwezo wakuwafanya watu wa taifa lake kuwa wamoja. Kiongoz wakitaifa siku zote hapaswi kujiingiza kwenye kauli au mambo yanaweza kuligawa taifa either kwa rangi,dini,kabila, mali, au jinsia. Nilazima kiongoz mkuu awafanye watu wote wawe wamoja pasipo kujali hayo hapo juu.

Pili anapaswa kuijuwa katiba nakuilinda katiba kwa uchungu mkubwa sana. Kiongoz mkuu wa nchi anapo apa ana apa kuilinda katiba ya nchi kwakuwa katiba ndio msaafu wa maisha ya wananchi wa taifa kila siku nilazima ailinde nakuifuwata kwa wivu mkubwa asipo fanya hivyo ataumiza watu nakutengeneza taifa la watukutu ama wavunja sheria na wakati mwingine atakuta yeye ndie chanzo jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa taifa.

Tatu hapaswi kuwa na makundi hasa akiwa nikiongoz anawaongoza watu wenye mirengo tofauti ktk hili lazima ajiepushe na makundi ili kulinda umoja na usalama wa taifa lake.

Nne nilazima awe anashaurika na anapenda kukosolewa haya yote nilazima awe na moyo wakuyabeba nakuyaishi kinyume chake asipo kubali kushaurika ama kukosolewa anaweza kuvuruga kule anaenda jambo linaweza kuisumbuwa nchi na serikali yake.

Tano nilazima awe ana akiba ya maneno. Sio kila kitu kiongoz mkuu wa kitaifa ana ambiwa au anakisikia anaswa kukisema au kukiongea hadharani yapo mambo kiongoz wakitaifa hapaswi kuyaongea au hata kuyatolea mfano maana yanaweza kutafisiriwa kivingine yakachafuwa hali ya hewa ya nchi au wakati mwingine yaka hatarisha maisha ya makachero waliopo maeneo ya tukio. Nadhani naeleweka.

Sita linafanana na la tano nilazima awe na uwezo wakumeza siri anazo ambiwa kwa masilah ya taifa na usalama wa wale wanampa taarifa. Asipofanya hivyo ni rahisi kufichwa mambo ya msingi jambo ambalo ni hatari.

Saba kama kiongoz hupaswi kuonyesha upendeleo wa wazi kwa mtu mmoja pindi anavuruga yeye haguswi lakin wengine wenye makosa madogo kuliko yake unawasakama na kuwavua madaraka. Ukifanya hivyo na watu wakajuwa basi kama kiongoz wakitaifa unakuwa umewagawa watu kuanzia serikalini mpaka uraian jambo ambalo ni hatari kwa uongoz wako mpaka usalama wa nchi. Kiongoz mkuu wakitaifa lazima awaongoze watu wote sawa.

Nane upo msemo unasema karipia polepole na sifia kwa nguvu sana akimanisha kama kiongoz nilazima pindi unaonya watu uwaonye kwa tone yakuleta aman na sio chuki baina yao lakin ukisifia sifia kwa nguvu wote wajuwe umuhimu wakufanya kazi.

Tisa nilazima ukumbuke kuna maisha baada ya uongozi hivyo usijisahau ukatengeneza maaduwi wengi kuliko marafiki. Hatumanishi ucheke na wajinga ila hekima itumike na busara ili uwe mwenye furaha na watu wako wawe na furaha.

Kumi nilazima kama kiongoz mkuu wakitaifa kujiepusha na maneno yanaweza kuonyesha unaingilia miimili mingine hilo liepuke sana.

Kumi namoja nilazima uwe na uruma pamoja na upendo ukikumbuka wale unawaongoza hawaishi kama wewe lakini ndio waliokuchaguwa wakumbuke na uwhurumie usiwe mkatili kwao wakajuta kwanin walikuchaguwa jambo Mungu akisikia anaweza kuwajibu.

Kuminambili tenda haki kwa kila mmoja pasipo jali tajiri au masikini.

Mwisho usimkumbatie mtu mmoja anaye haribu kazi yako au kutia dowa ukifanya hivyo unawagawa watu.
 
Leo umeamka na akili...ulikuwa ukiambiwa unakuwa mbishi...there is a very big difference btn kikwete regime and magufuli regime..the former was busy building a NATION while tha later is busy building a COUNTRY....
 
Tuendelee kumuombea labda kesho atabadilika.
Vilevile tusisahau kwamba
Kesho kesho ya manyani.
 
Ninachoamini kwa utawala huu, sitasikia Padri, Mchungaji, wala sheikh akichinjwa au kupigwa risasi. Sitasikia dini zikigombania kuchinja. Sitasikia ujinga wa viongozi wa dini kuligawa Taifa kwa kuendekeza mambo ya kijinga.

Nchi itatulia, mikutano ya ovyo sitasikia, watu tutafanya kazi.
 
thumun bukumun lahum laarjiuun hasikii haon hata ukapiga mkisema haelekei kuelewa
 
Tutashuhudia vitu vilivyopaishwa bei bila.sababu vikirudi kwenye uhalisia.wake. na sie tunaopata riziki zetu kwa njia halal tutaweza kununua na kutumia.
 
Wewe ndie mpumbav usiejua unaloandika unaposema mikutano ya hovyo au ya kijinga ni ipi? Bila shaka unazungumzia mikutano ya kisiasa iliyopigwa tanji na mkulu kama ni hivyo basi utakuwa unaugua MENTAL TREMOR pia umesema kutokuwepo kwa mikutano itatufanya tufanye kazi wewe ni ZUZU LA LUMUMBA kazi ipi watz watafanya kama graduates wa fani zote hakuna ajira halaf kuna mashetani kama wewe wanasema wajiajiri huku wapo ofisini nyambaaf kwanini nae asijiajiri? Mfano mtu kamaliza mafunzo ya Radiology halafu unamwambia ajiajir kwa hiyo akanunue mashine ya X-ray ajiajir mbona mashine za aina hii huku halmashaurini zimeota kutu unafikir ni kitu rahis kwa familia zetu hizi? Viwanda vimekufa hata wenye nguv wasio na ujuz wataajiriwa wapi mbona we unakaa kwa shemeji yako na kijijini ulikozaliwa IGWINGWILI hurudi? Kazi yako kutumwa vitumbua na majani ya chai kila kukicha huna adabu halafu ukijigundua una ushuzi si lazima uchangie humu jf.
 
Jamani kama raia mwema nimewiwa kuandika haya maana naipenda nchi yangu na viongoz wangu.

Jambo la kwanza kiongozi wa taifa anapaswa kuwa nalo. Niuwezo wakuwafanya watu wa taifa lake kuwa wamoja. Kiongoz wakitaifa siku zote hapaswi kujiingiza kwenye kauli au mambo yanaweza kuligawa taifa either kwa rangi,dini,kabila, mali, au jinsia. Nilazima kiongoz mkuu awafanye watu wote wawe wamoja pasipo kujali hayo hapo juu.

Pili anapaswa kuijuwa katiba nakuilinda katiba kwa uchungu mkubwa sana. Kiongoz mkuu wa nchi anapo apa ana apa kuilinda katiba ya nchi kwakuwa katiba ndio msaafu wa maisha ya wananchi wa taifa kila siku nilazima ailinde nakuifuwata kwa wivu mkubwa asipo fanya hivyo ataumiza watu nakutengeneza taifa la watukutu ama wavunja sheria na wakati mwingine atakuta yeye ndie chanzo jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa taifa.

Tatu hapaswi kuwa na makundi hasa akiwa nikiongoz anawaongoza watu wenye mirengo tofauti ktk hili lazima ajiepushe na makundi ili kulinda umoja na usalama wa taifa lake.

Nne nilazima awe anashaurika na anapenda kukosolewa haya yote nilazima awe na moyo wakuyabeba nakuyaishi kinyume chake asipo kubali kushaurika ama kukosolewa anaweza kuvuruga kule anaenda jambo linaweza kuisumbuwa nchi na serikali yake.

Tano nilazima awe ana akiba ya maneno. Sio kila kitu kiongoz mkuu wa kitaifa ana ambiwa au anakisikia anaswa kukisema au kukiongea hadharani yapo mambo kiongoz wakitaifa hapaswi kuyaongea au hata kuyatolea mfano maana yanaweza kutafisiriwa kivingine yakachafuwa hali ya hewa ya nchi au wakati mwingine yaka hatarisha maisha ya makachero waliopo maeneo ya tukio. Nadhani naeleweka.

Sita linafanana na la tano nilazima awe na uwezo wakumeza siri anazo ambiwa kwa masilah ya taifa na usalama wa wale wanampa taarifa. Asipofanya hivyo ni rahisi kufichwa mambo ya msingi jambo ambalo ni hatari.

Saba kama kiongoz hupaswi kuonyesha upendeleo wa wazi kwa mtu mmoja pindi anavuruga yeye haguswi lakin wengine wenye makosa madogo kuliko yake unawasakama na kuwavua madaraka. Ukifanya hivyo na watu wakajuwa basi kama kiongoz wakitaifa unakuwa umewagawa watu kuanzia serikalini mpaka uraian jambo ambalo ni hatari kwa uongoz wako mpaka usalama wa nchi. Kiongoz mkuu wakitaifa lazima awaongoze watu wote sawa.

Nane upo msemo unasema karipia polepole na sifia kwa nguvu sana akimanisha kama kiongoz nilazima pindi unaonya watu uwaonye kwa tone yakuleta aman na sio chuki baina yao lakin ukisifia sifia kwa nguvu wote wajuwe umuhimu wakufanya kazi.

Tisa nilazima ukumbuke kuna maisha baada ya uongozi hivyo usijisahau ukatengeneza maaduwi wengi kuliko marafiki. Hatumanishi ucheke na wajinga ila hekima itumike na busara ili uwe mwenye furaha na watu wako wawe na furaha.

Kumi nilazima kama kiongoz mkuu wakitaifa kujiepusha na maneno yanaweza kuonyesha unaingilia miimili mingine hilo liepuke sana.

Kumi namoja nilazima uwe na uruma pamoja na upendo ukikumbuka wale unawaongoza hawaishi kama wewe lakini ndio waliokuchaguwa wakumbuke na uwhurumie usiwe mkatili kwao wakajuta kwanin walikuchaguwa jambo Mungu akisikia anaweza kuwajibu.

Kuminambili tenda haki kwa kila mmoja pasipo jali tajiri au masikini.

Mwisho usimkumbatie mtu mmoja anaye haribu kazi yako au kutia dowa ukifanya hivyo unawagawa watu.
Kumi na tatu awe na uthubutu wa kuwakabili wabadhirifu wa mali ya umma wazi wazi na akemee na kuwatumbua bila kuwaonea aibu.
 
Ninachoamini kwa utawala huu, sitasikia Padri, Mchungaji, wala sheikh akichinjwa au kupigwa risasi. Sitasikia dini zikigombania kuchinja. Sitasikia ujinga wa viongozi wa dini kuligawa Taifa kwa kuendekeza mambo ya kijinga.

Nchi itatulia, mikutano ya ovyo sitasikia, watu tutafanya kazi.
Kwaio unadhani kutosikia ni kwamba kiongozi huyo ni bora au
 
Jamani kama raia mwema nimewiwa kuandika haya maana naipenda nchi yangu na viongoz wangu.

Jambo la kwanza kiongozi wa taifa anapaswa kuwa nalo. Niuwezo wakuwafanya watu wa taifa lake kuwa wamoja. Kiongoz wakitaifa siku zote hapaswi kujiingiza kwenye kauli au mambo yanaweza kuligawa taifa either kwa rangi,dini,kabila, mali, au jinsia. Nilazima kiongoz mkuu awafanye watu wote wawe wamoja pasipo kujali hayo hapo juu.

Pili anapaswa kuijuwa katiba nakuilinda katiba kwa uchungu mkubwa sana. Kiongoz mkuu wa nchi anapo apa ana apa kuilinda katiba ya nchi kwakuwa katiba ndio msaafu wa maisha ya wananchi wa taifa kila siku nilazima ailinde nakuifuwata kwa wivu mkubwa asipo fanya hivyo ataumiza watu nakutengeneza taifa la watukutu ama wavunja sheria na wakati mwingine atakuta yeye ndie chanzo jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa taifa.

Tatu hapaswi kuwa na makundi hasa akiwa nikiongoz anawaongoza watu wenye mirengo tofauti ktk hili lazima ajiepushe na makundi ili kulinda umoja na usalama wa taifa lake.

Nne nilazima awe anashaurika na anapenda kukosolewa haya yote nilazima awe na moyo wakuyabeba nakuyaishi kinyume chake asipo kubali kushaurika ama kukosolewa anaweza kuvuruga kule anaenda jambo linaweza kuisumbuwa nchi na serikali yake.

Tano nilazima awe ana akiba ya maneno. Sio kila kitu kiongoz mkuu wa kitaifa ana ambiwa au anakisikia anaswa kukisema au kukiongea hadharani yapo mambo kiongoz wakitaifa hapaswi kuyaongea au hata kuyatolea mfano maana yanaweza kutafisiriwa kivingine yakachafuwa hali ya hewa ya nchi au wakati mwingine yaka hatarisha maisha ya makachero waliopo maeneo ya tukio. Nadhani naeleweka.

Sita linafanana na la tano nilazima awe na uwezo wakumeza siri anazo ambiwa kwa masilah ya taifa na usalama wa wale wanampa taarifa. Asipofanya hivyo ni rahisi kufichwa mambo ya msingi jambo ambalo ni hatari.

Saba kama kiongoz hupaswi kuonyesha upendeleo wa wazi kwa mtu mmoja pindi anavuruga yeye haguswi lakin wengine wenye makosa madogo kuliko yake unawasakama na kuwavua madaraka. Ukifanya hivyo na watu wakajuwa basi kama kiongoz wakitaifa unakuwa umewagawa watu kuanzia serikalini mpaka uraian jambo ambalo ni hatari kwa uongoz wako mpaka usalama wa nchi. Kiongoz mkuu wakitaifa lazima awaongoze watu wote sawa.

Nane upo msemo unasema karipia polepole na sifia kwa nguvu sana akimanisha kama kiongoz nilazima pindi unaonya watu uwaonye kwa tone yakuleta aman na sio chuki baina yao lakin ukisifia sifia kwa nguvu wote wajuwe umuhimu wakufanya kazi.

Tisa nilazima ukumbuke kuna maisha baada ya uongozi hivyo usijisahau ukatengeneza maaduwi wengi kuliko marafiki. Hatumanishi ucheke na wajinga ila hekima itumike na busara ili uwe mwenye furaha na watu wako wawe na furaha.

Kumi nilazima kama kiongoz mkuu wakitaifa kujiepusha na maneno yanaweza kuonyesha unaingilia miimili mingine hilo liepuke sana.

Kumi namoja nilazima uwe na uruma pamoja na upendo ukikumbuka wale unawaongoza hawaishi kama wewe lakini ndio waliokuchaguwa wakumbuke na uwhurumie usiwe mkatili kwao wakajuta kwanin walikuchaguwa jambo Mungu akisikia anaweza kuwajibu.

Kuminambili tenda haki kwa kila mmoja pasipo jali tajiri au masikini.

Mwisho usimkumbatie mtu mmoja anaye haribu kazi yako au kutia dowa ukifanya hivyo unawagawa watu.
Inshort magufuli sio kiongozi bora na kibaya zaid kakosa busara na kinacho mcoast zaid nahisi anaiga moja za kitawala zilizopita za kibabe thus y kauli zake ni tata mno, anasahau zama zmebadilika.....
 
Mkuu una muda wa kupoteza kiasi hicho?

Mkuu, ndiyo maana nikamalizia kwamba
'Kesho kesho ya Manyani'
Nyani walipanga wajenge nyumba maana wamechoshwa na kunyeshewa na mvua na kupigwa na jua . Kila wakikutana kunakuwa na upungufu ,ama mmoja mgonjwa au ana tatizo fulani hakufika.
Na ili shughuli ifanyike lazima wote wawepo,vinginevyo inahahirishwa hadi kesho.
Kila siku hawatimii wanaahirisha tena tukutane kesho. Mpaka muda huu Nyani bado wanaishi porini.
Tuzidi kumuombea labda atabadilika!
Kesho kesho ya Manyani.
 
Ninachoamini kwa utawala huu, sitasikia Padri, Mchungaji, wala sheikh akichinjwa au kupigwa risasi. Sitasikia dini zikigombania kuchinja. Sitasikia ujinga wa viongozi wa dini kuligawa Taifa kwa kuendekeza mambo ya kijinga.

Nchi itatulia, mikutano ya ovyo sitasikia, watu tutafanya kazi.
IMANI na UHALISIA ni vitu viwili tofauti. Tuendelee KUAMINI
 
Leo umeamka na akili...ulikuwa ukiambiwa unakuwa mbishi...there is a very big difference btn kikwete regime and magufuli regime..the former was busy building a NATION while tha later is busy building a COUNTRY....


This sounds good. Kumbe kuna ku-build a NATION na ku-build a COUNTRY.. Nimeongeza kitu leo. Shukran
 
Back
Top Bottom