Mambo ya kuzingatia ukitaka kuanzisha biashara ya vipodozi.

Muhimu
1. Location -je utapata wateja wa kutosha

2. Ubunifu

3. Endana na wakati

4. Muuzaji uwe mjanja na uwe na ushawishi,
Yan kuna wateja wanakuja dukan lkn hawajui chaguo sahihi kulingana na zao au muonekano wao.

5. Kumbuka ukiwa muuzaji wa vipodozi unageuka daktari wa ngozi automatically hata km umeishia std 3, so jiongeze na ushawishi na uelewa.

6. Be smart, uvutie uendan na taswira ya urembo

N;B mtaji huamua mengi.

Kuhusu maduka nenda kariakoo opposite na filling station ya bigbon hapo ndipo wauzaji wa vipodozi vya jumla na rejareja.

Vipodozi vinalipa sana ila uwe muelewa.

Karibu
 
Muhimu
1. Location -je utapata wateja wa kutosha

2. Ubunifu

3. Endana na wakati

4. Muuzaji uwe mjanja na uwe na ushawishi,
Yan kuna wateja wanakuja dukan lkn hawajui chaguo sahihi kulingana na zao au muonekano wao.

5. Kumbuka ukiwa muuzaji wa vipodozi unageuka daktari wa ngozi automatically hata km umeishia std 3, so jiongeze na ushawishi na uelewa.

6. Be smart, uvutie uendan na taswira ya urembo

N;B mtaji huamua mengi.

Kuhusu maduka nenda kariakoo opposite na filling station ya bigbon hapo ndipo wauzaji wa vipodozi vya jumla na rejareja.

Vipodozi vinalipa sana ila uwe muelewa.

Karibu
Asante sana kwa updates muhim hizi
 
Muhimu
1. Location -je utapata wateja wa kutosha

2. Ubunifu

3. Endana na wakati

4. Muuzaji uwe mjanja na uwe na ushawishi,
Yan kuna wateja wanakuja dukan lkn hawajui chaguo sahihi kulingana na zao au muonekano wao.

5. Kumbuka ukiwa muuzaji wa vipodozi unageuka daktari wa ngozi automatically hata km umeishia std 3, so jiongeze na ushawishi na uelewa.

6. Be smart, uvutie uendan na taswira ya urembo

N;B mtaji huamua mengi.

Kuhusu maduka nenda kariakoo opposite na filling station ya bigbon hapo ndipo wauzaji wa vipodozi vya jumla na rejareja.

Vipodozi vinalipa sana ila uwe muelewa.

Karibu
Zungumzia pia kuhusu sheria ? Hapo umeandika kama vile atafanya biashara sehemu ambapo hakuna taratibu na sheria.
 
Back
Top Bottom