Mambo ya house girl mpya

Hahahah hiyo picha ya pili kiboko
 
HahahahahaaAA kuna haja ya kuchagua angalau aliyosoma hadi drs la 7 maana ni aibu
 
HahahahahaaAA kuna haja ya kuchagua angalau aliyosoma hadi drs la 7 maana ni aibu

Sio dawa niliwahi kuwa na aliyemaliza form four lakini mambo yake yaliniacha hoi, tulikuwa na sherehe ndogo home sasa kuepusha usumbufu wa kuosha vyombo tukatumia disposable plates vijiko, nyuma na glass, sherehe ilinoga mpaka saa tano usiku hivi wageni wakatawanyika sisi tukalala
Huku nyuma mdada hakulala aliosha disposable zote kuamka asubuhi weee acha tu nilicheka mpaka nikakaa chini
 

Hahahahahahaa hii kali kuliko!
 
Hahahah ila hajakosea. Kaambiwa amenye nusu.
Hakuambiwa achukue nusu ya viazi vilivyo kwenye mfuko, amenye na avipike
 
mm niliwahi kuwa kulita msichana aliyemaliza std 7. chumba chake kilikua muster lakini alikaa siku tatu ndo anauliza mama choo kiko wapi wakati alikua anaoga na kukojoa humohumo....
...... wasichana si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…