Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Vilevile kama kampuni yako inaugunduzi au umejikita kwenye mambo ambayo unaona unataka uwe na faida nayo usisahau kupata utaalamu kuhusu Copyright na Patents ni muhimu katika kuangalia biashara yako inakuwa kubwa na salama

Naomba hili nilisisitize hata kama kampuni yako hajafanya kazi au biashara husika lakini una TIN number returns za TRA ni lazima kupeleka ndio maana wanaruhusu NIL returns.
Ahsante
 
Kama nimesajiri kampuni ambayo haijawahi kufanya kazi na sina TIN #, Kuna penalty itakayo nihusu
 
Naomba hili nilisisitize hata kama kampuni yako hajafanya kazi au biashara husika lakini una TIN number returns za TRA ni lazima kupeleka ndio maana wanaruhusu NIL returns.
Ahsante
Je, kiasi cha mtaji utakachojaza wakati wa kukadiliwa kodi kina athari yoyote katika ukuaji wa kampuni ?
 
Kodi ya mapato kikawaida huwa unakadiriwa kutoka kwenye faida au mapato ukitoa matumizi. Na kitaratibu kampuni huwa hakadiriwi kodi ila yenyewe ndio inajikadiria kutokana na mahesabu inayotegemea kupata mwaka husika. Katika kanuni za kawaida ukianza biashara na mtaji mkubwa inategemewa utapata faida kubwa na hivyo kulipa kodi kubwa. Naamini hapo nitakuwa nimejieleza sawia

Je, kiasi cha mtaji utakachojaza wakati wa kukadiliwa kodi kina athari yoyote katika ukuaji wa kampuni ?
 
Kodi ya mapato kikawaida huwa unakadiriwa kutoka kwenye faida au mapato ukitoa matumizi. Na kitaratibu kampuni huwa hakadiriwi kodi ila yenyewe ndio inajikadiria kutokana na mahesabu inayotegemea kupata mwaka husika. Katika kanuni za kawaida ukianza biashara na mtaji mkubwa inategemewa utapata faida kubwa na hivyo kulipa kodi kubwa. Naamini hapo nitakuwa nimejieleza sawia
Nimekuelewa, sasa mbona watu huwa mitaji ikikua wanaenda tena BRELA kurekebisha Documents, kwanini huwa wanafanya hivyo
 
Ni halali kabisa watu wengi mwanzoni kwa Brela ada inalipwa kutokana na mtaji unaonza sasa watu wengi waliweka mitaji midogo sana ili wasajiliwe na baada ya muda kile kiwango kinakuwa kidogo mno unakuta watu wengi waliweka millioni moja na kwenye memert wakaweka ukomo wa 5m kama hisa zao na wakaissue za millioni sasa.

Kwanza wamekuwa na imezidi ili 5m au wanaleta watu wengine kwenye biashara chochote ambacho kinaweza kufanya ili kubadilisha structure ya umiliki ni lazima ukafanya mabadiliko Brela. Na ukweli watu wengi wamekuwa hawa wapi Brela umuhimu lakini ni ukweli aliyekupa usajili (Registration) ni Brela kwahiyo ni muhimu sana kujua kila wakati mabadiliko yoyote yanayotekea kwenye Kampuni ni lazima umwarifu Brela.

Kuna jumla ya fomu kama 35 ambazo ni tafsiri ya sheria ya makampuni unatakiwa kujaza mfano kama unabadilisha address, kunabadiliko lolote la wakurugenzi ( Director) . Na mabadiliko yoyote yanayotekea kweny kampuni katika form hizo utakuta jambo ambalo linaweza kukusaidia. Kampuni ni kama bianadamu huwa anakuwa na mabadiliko na kampuni nzuri ni ile inayooana mabadiliko ya kuchukua fursa.

Mfano kampuni yako ulianza kidogo lakini unaona kuna uwezekana wa kuuza asilimia 25% ili ikuwe zaidi mara nyingi utawala mzuri utafanya juu chini kuchukua fursa hiyo. Na hayo yatalazimisha kubadilisha baadhi ya mambo kwenye register wa makampuni.



Nimekuelewa, sasa mbona watu huwa mitaji ikikua wanaenda tena BRELA kurekebisha Documents, kwanini huwa wanafanya hivyo
 
Mkuu Nyumbalao nimekuelewa kabisa, kwahiyo kitaalamu unashauri nini, watu wajaze mitaji halisi, kidogo au kubwa. Nini ni ushauri wako kuhusu hili
 
Nashauri waweke hisa kuwa kubwa ila issued iendane na hali ya mtu ili wakati wa kuongeza unaongeza kwenye issue ambayo ni process rahisi kuliko kuchange memerts yote kwa ajili ya kuongeza hisa. Naamini 500m to 1 B ni range nzuri. Halafu ukanzia na kuissue 5m to 10 m sio mbaya

Mkuu Nyumbalao nimekuelewa kabisa, kwahiyo kitaalamu unashauri nini, watu wajaze mitaji halisi, kidogo au kubwa. Nini ni ushauri wako kuhusu hili
 
Naomba hili nilisisitize hata kama kampuni yako hajafanya kazi au biashara husika lakini una TIN number returns za TRA ni lazima kupeleka ndio maana wanaruhusu NIL returns.
Ahsante
na vipi kuhusu kusajiliwa kwa kampuni brela tu ila TRA bado hata TIN no nayo bado je natakiwa kupeleka returns zangu!? hapo juu nimeona umeongelea kuhusu kupeleka brela...imekaaja hiyo!!
 
Ndio kaka ila ukishasajiliwa Brela lazima upeleke Brela returns kila mwaka siku ile uliosajiliwa. Na tra hivyo hivyo ukishapata TIN unatakiwa kuanza na estimate returns kwa mwaka ule na mwisho final. Na kodi nyinginezo kama za PAYE, SDL na Withholding. Sidhani kama unaweza kwenda kuwa na kampuni kwa muda mrefu bila kuwa na TIN kama uko kwenye serious business.


na vipi kuhusu kusajiliwa kwa kampuni brela tu ila TRA bado hata TIN no nayo bado je natakiwa kupeleka returns zangu!? hapo juu nimeona umeongelea kuhusu kupeleka brela...imekaaja hiyo!!
 
Kwa sasa ada ya mwaka Brela ni Tanzania Shilingi 22,000/ kwa mwaka na Tshs 2500 kwa mwezi uliochelewa
 
Naona swala la estimated returns nimeulizwa sana Pm ni hivi kwa kampuni unatakiwa kufill kabla ya tarehe 31 March ya kila mwaka makisio ya faida yako utakayotengeneza kwa mwaka husika na hivyo kwa kiasi hicho cha faida unachoona utatengeneza basi unakilipia kodi kwa kugawanya kwa nne. Yaani kila robo mwaka unalipa yaani mwisho wa mwezi wa tatu, sita, Tisa na December.
 
Moja ya jambo muhimu sana ambalo sasa linakuja kwa kasi ni swala la mfuko wa fidia kwa wafanyakazi Workers Compesantion fund (WCF) makampuni mengi na waajiri wengi hili wamekuwa hawalipi kipaumbele kwa mujibu wa sheria ni lazima kila mwajiri Tanzania Bara alisjaili na apeleke 1% ya mshara na allowance kwenye WCF na hii anatakiwa kampuni ndio ipeleke hiyo hela sio kwa kumkata mwajiriwa. Hii ni garama kwa mwajiri ( Au kampuni ajiri).
Naamini
 
Vilevile kama kampuni yako inaugunduzi au umejikita kwenye mambo ambayo unaona unataka uwe na faida nayo usisahau kupata utaalamu kuhusu Copyright na Patents ni muhimu katika kuangalia biashara yako inakuwa kubwa na salama
copyright na patents unaipata BRELA au TCCIA
 
Nyumbalao

Asante sana umetoa zawadi ya sikukuu ya Uhuru hiyo.Huu ndio UZALENDO wa kweli.Asante kwa elimu.Vipi je nikifingua NGO LIMITED BY GURANTEED.Kodi unalipa hivyo hivyo!
 
Back
Top Bottom