warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Dooh , jaman kumbe ndio maana kila anayekua nae anaishia kule, mmh jaman nyie mastaa kutwa kwa waganga kutafuta nyota na umaarufu muwe mnafikiria na fyucha zenu jaman, ndio umaarufu mtamu , Ila hizo laana na mikosi mnayobeba huko inacost fyucha zenu.
Sasa huyu nae mwanakuyatafuta mwanakuyapata mmh , yan mpaka Kafara juu Kisa tu umaarufu na pesa? Una bahati sana umejiwahi kwenye dini, labda safari hii kikombe unachokunywaga kila mwaka kitakuepuka
Nakutakia ndoa Njema, ukifanikiwa kuuepuka tena mtihani huu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa huyu nae mwanakuyatafuta mwanakuyapata mmh , yan mpaka Kafara juu Kisa tu umaarufu na pesa? Una bahati sana umejiwahi kwenye dini, labda safari hii kikombe unachokunywaga kila mwaka kitakuepuka
Nakutakia ndoa Njema, ukifanikiwa kuuepuka tena mtihani huu
Sent from my iPhone using JamiiForums