Mambo matatu yaliyonifikirisha kwa siku ya leo

Mambo matatu yaliyonifikirisha kwa siku ya leo

bCg

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
455
Reaction score
933
Habari wanajamiiforums,
1.Wakati nawaza juu ya kukosa mtoto kwa miaka 2 tangu nifunge ndoa na kunifanya kukata tamaa na maisha. nikawa napitiapitia majukwaa mbalimbali hapa jamiforums nikakutana na thread ya mwenzetu Folk (akiwa Ameambiwa Na Dr Wake Kuwa Anasiku Chache Za Kuishi) nilihisi tatizo langu ni dogo sana.

2. Mda wa saa 9 Wakati nawaza Kutafuta Mchepuko Wa Kuzaa Nao mara pap nikapata taarifa juu ya watu waliong'ang'aniana wakati wakichepuka (tena ni mama mchungaji na mwanaumea ilibidi nijiapie kutochepuka maishani mwangu.

3. Saa 11 wakati nikiwa na stress juu ya kamshahara kangu kadogo, Mara akapita mdada akiwa anaendesaa baiskel huku anamtoto mgongoni, mzigo kwenye keria na kabeba mzigo kichwani (naambatanisha picha chini). niliwaza na kumhurumia kwa kweri.

Mambo ya kushea na wewe ni
1. KUNA WATU WALIO NA MATATIZO MAKUBWA KULIKO TULIYONAYO REJEA FOLK.
3. NA TULIZIKE NA VICHACHE TULIVYO NAVYO.
Usiku Mwema.
 
Ushauri wako mzuri sana! Shukrani!
Picha iko wapi?
 
Jamani Natumia Simu Nashindwa Ku Up Load Picha Kama Kuna Memba Anitumie Anaweza Nimtumie Kwa Njia Zingine Halafu Anisaidie.
 
Kwer Kabisa
# Gyole
 
folk ana shida gani? kuambiwa atakata moto baada ya miezi 4 ndo shida. mie naona kapewa muda wa kujiandaa (kutubu na kufanya mema) na cha kufurahisha ataishi zaidi ya hapo huku mimi au wewe tukianza kukata moto kabla yake.
 
Habari wanajamiiforums,
1.Wakati nawaza juu ya kukosa mtoto kwa miaka 2 tangu nifunge ndoa na kunifanya kukata tamaa na maisha. nikawa napitiapitia majukwaa mbalimbali hapa jamiforums nikakutana na thread ya mwenzetu Folk (akiwa Ameambiwa Na Dr Wake Kuwa Anasiku Chache Za Kuishi) nilihisi tatizo langu ni dogo sana.

2. Mda wa saa 9 Wakati nawaza Kutafuta Mchepuko Wa Kuzaa Nao mara pap nikapata taarifa juu ya watu waliong'ang'aniana wakati wakichepuka (tena ni mama mchungaji na mwanaumea ilibidi nijiapie kutochepuka maishani mwangu.

3. Saa 11 wakati nikiwa na stress juu ya kamshahara kangu kadogo, Mara akapita mdada akiwa anaendesaa baiskel huku anamtoto mgongoni, mzigo kwenye keria na kabeba mzigo kichwani (naambatanisha picha chini). niliwaza na kumhurumia kwa kweri.

Mambo ya kushea na wewe ni
1. KUNA WATU WALIO NA MATATIZO MAKUBWA KULIKO TULIYONAYO REJEA FOLK.
3. NA TULIZIKE NA VICHACHE TULIVYO NAVYO.
Usiku Mwema.
Pole sana.
Umesema kweli.Kila la kheri pia, wala usikate tamaa mkuu.Zipo shuhuda za watu waliohangaika kupata watoto hata kwa miaka 9 lakini wakaja kupata.Sijui kama mmeweza kujua chanzo cha shida lakini lishe imekua chanzo cha baadhi ya watu kupata shida katika hili swala.
 
Back
Top Bottom