kipanga mlakuku
Member
- Jun 9, 2011
- 92
- 53
Nanjilinji ni kijiji kilichopo wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi yafuatayo ni maajabu 5 ya kijiji hiki; 1. Nanjilinji ni kijiji cha msimu hutokea wakati wa mavuno tu 2.Nanjilinji wakazi wake ni wafanyabiashara tu 3. Wafanyabiashara hupeleka mpaka unga wa sembe tani 70 kwa mwaka na yote huisha kijijini hapo 4. Watu wa kijiji hiko huweka mpaka milioni 100 ndani ya nyumba bila kupeleka benki 5. Ni kijiji kinachotajwa mara nyingi zaidi na watu, kinatajwa zaidi ya mara laki tano kwa siku katika mazungumzo ya kawaida.