mwana wa Tanzania
Member
- Nov 27, 2019
- 35
- 145
Yafuatayo ni mambo kumi ambayo nimeyaona katika ziara ya LISSU ya kutafuta Wadhamini:
1. LISSU anatumia muda mwingi kushambulia haiba za wagombea anaochuana nao kuliko kueleza sera mbadala alizonazo.
2. Wanachama wengi waliojitokeza katika mikutano yake wakienda kutazama majeraha aliyonayo na sio kusikiliza sera zake.
3. LISSU ameonesha kuwa ni mtu mwenye jazba, kisasi hivyo akipewa Mamlaka makubwa ya kuongoza nchi atatumia muda mwingi kufanya visasi badala ya kuleta maendeleo.
4. LISSU anafanya makosa ya kiufundi kwa kuzishambulia taasisi za Serikali mathalani vyombo vya ulinzi na Usalama bila kujali zina mchango mkubwa wa kumfanya ashinde au la.
5. Idadi kubwa ya watu waliojitokeza kwenye mikutano yake ni wanachama wa CHADEMA jambo linaloleta taswira kwamba nje ya chama hicho hakubaliki.
6. Kuna viashiria vya kutosha kwamba LISSU anatumika na mataifa ya nje. Anatumia muda mwingi kuonesha anaungwa mkono na MABEBERU.
7. Idadi kubwa ya wagombea waliojitokeza ni vijana wa mitaani ambao kwa uzoefu wa chaguzi zilizopita unaonesha huwa hawapigi Kura.
8. LISSU na Chadema inajenga matumaini HEWA ya ushindi kupitia watu waliojitokeza kwenye mikutano yake, ikumbukwe kwamba kwa mujibu wa takwimu za Tume idadi ya wapiga Kura walioandikishwa ni Milion 29, hebu fikiria idadi waliojitokeza wanafiki hata asilimia 5.
9. LISSU ameonesha kushindwa hata kabla ya Uchaguzi kufanyika. Hajiamini anajenga mazingira ya kwamba ataonewa na Mamlaka za usimamizi wa Uchaguzi.
10. LISSU ana Mpango wa kuharibu amani iliyopo chini, anahamasisha Wananchi kufanya fujo wakati wa Uchaguzi kwa kisingizio cha kutotendewa haki.
Kwa namna ambavyo LISSU amejinadi kwenye mikutano yake ni wazi kabisa mgombea wa CCM Mhe Dkt JOHN POMBE MAGUFULI ananafasi KUBWA YA KUSHINDA kutokana na uchapakazi wake, weledi na uzalendo kwa Taifa.
1. LISSU anatumia muda mwingi kushambulia haiba za wagombea anaochuana nao kuliko kueleza sera mbadala alizonazo.
2. Wanachama wengi waliojitokeza katika mikutano yake wakienda kutazama majeraha aliyonayo na sio kusikiliza sera zake.
3. LISSU ameonesha kuwa ni mtu mwenye jazba, kisasi hivyo akipewa Mamlaka makubwa ya kuongoza nchi atatumia muda mwingi kufanya visasi badala ya kuleta maendeleo.
4. LISSU anafanya makosa ya kiufundi kwa kuzishambulia taasisi za Serikali mathalani vyombo vya ulinzi na Usalama bila kujali zina mchango mkubwa wa kumfanya ashinde au la.
5. Idadi kubwa ya watu waliojitokeza kwenye mikutano yake ni wanachama wa CHADEMA jambo linaloleta taswira kwamba nje ya chama hicho hakubaliki.
6. Kuna viashiria vya kutosha kwamba LISSU anatumika na mataifa ya nje. Anatumia muda mwingi kuonesha anaungwa mkono na MABEBERU.
7. Idadi kubwa ya wagombea waliojitokeza ni vijana wa mitaani ambao kwa uzoefu wa chaguzi zilizopita unaonesha huwa hawapigi Kura.
8. LISSU na Chadema inajenga matumaini HEWA ya ushindi kupitia watu waliojitokeza kwenye mikutano yake, ikumbukwe kwamba kwa mujibu wa takwimu za Tume idadi ya wapiga Kura walioandikishwa ni Milion 29, hebu fikiria idadi waliojitokeza wanafiki hata asilimia 5.
9. LISSU ameonesha kushindwa hata kabla ya Uchaguzi kufanyika. Hajiamini anajenga mazingira ya kwamba ataonewa na Mamlaka za usimamizi wa Uchaguzi.
10. LISSU ana Mpango wa kuharibu amani iliyopo chini, anahamasisha Wananchi kufanya fujo wakati wa Uchaguzi kwa kisingizio cha kutotendewa haki.
Kwa namna ambavyo LISSU amejinadi kwenye mikutano yake ni wazi kabisa mgombea wa CCM Mhe Dkt JOHN POMBE MAGUFULI ananafasi KUBWA YA KUSHINDA kutokana na uchapakazi wake, weledi na uzalendo kwa Taifa.