meeku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 569
- 108
Taarifa zilizopo kwenye deports/wakala wa bia zinaonesha kuwa kale kabia nako kameshapanda bei tena kwa asilimia 12.5. Tumekwisha. hakuna tena kupanga mipango na na migogoro itazidi kwani wanaume tutakuwa tunawahi nyumbani.
Hofu yangu:
1. wanaume tusiwe tunauliza wake au ma-house gls maswali ya kama siyo wazoefu wa kuwahi nyumbani.
2. wakinamama wawe makini kwani pruksnini za bar mads zinaweza kueudi kwa wasichana wa hm.
3. Tuchunge lugha zetu tusijeropoka tukidhani tuko bar
4. Tujifunze kupeleka badget ya makongoro na nyama choma nyumbani.
Hofu yangu:
1. wanaume tusiwe tunauliza wake au ma-house gls maswali ya kama siyo wazoefu wa kuwahi nyumbani.
2. wakinamama wawe makini kwani pruksnini za bar mads zinaweza kueudi kwa wasichana wa hm.
3. Tuchunge lugha zetu tusijeropoka tukidhani tuko bar
4. Tujifunze kupeleka badget ya makongoro na nyama choma nyumbani.