Baba mzazi kama kweli anampenda mwanawe ajue wazi kuwa huyo mke si wake bali nijinamizi maana amekuwa katili sana hana chembe hata ya huruma hata kama mtoto aliiba hela ndo amng'ate meno? labda aliona wivu wa kufaulu nakuwa wa 10 bora. Huyo mke ni balaa. hafai. hela yenyewe kapewa na baba yake huyo mtoto. col.